Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Ahaaaaaah sema nashukuru hujanipiga majungu japo mimi huwa nakupiga majungu ...ila kikao chenu cha jana sijui mlipata ata karanga za kutafuna

Ahaaaaaah sema nashukuru hujanipiga majungu japo mimi huwa nakupiga majungu ...ila kikao chenu cha jana sijui mlipata ata karanga za kutafuna

Ahaaaaaaaah najivunia kuwa kapukuView attachment 460543lee umeua ulipoweka logo ya KF kwenye gazeti
Thanks mkuuu....kapuku mwaka huu mbona watatuogopa...Na tuzo la mhalifu mjinga kwa asubuhi ya leo linawaangukia hawa jamaa (Nitakuwa nawaletea hii kila siku). Kwangu mimi hili ni dirisha la kumjua binadamu (pamoja na mbwembwe zake zote) ni kiumbe wa aina gani.![]()
![]()
Ulitafutwa sanaAsantee mkuu shululu japo jana niliona nilitafutwa![]()
![]()
![]()
![]()
Alikiw ayupo labda onlineUlitafutwa sana
KwannHAHAHA makapuku nawasalimu
Ndugu, Huwatendei haki MAKAPUKU. Kama mada haziendani na matakwa yako nadhani ni bora ukaawachia wenye jukwaa lao. Simple! Kwa mfano, mie si mpenzi wa masuala ya ku BET, huwa sigusi kabisa lile jukwaa. Wala si shabiki kabisa wa mijadala ya kidini, na huwa sigusi kabisa jukwaa lile. Ukiishi namna hiyo utaipenda sana JF. Ingia pale tu panapokuhusu ama ambapo una interest napo.Yani acha tu, kila nikiingia humu chitchat nakuta thread hii inatembeaa mbayaa.
Afu hao wachanguaji sasa, yaani wahuni wahuni flani hivii.
Michango imekaa kitoto, inaboa, inakeraa.
Mods ondoa bhana hii thread, aagrrrhrriihh!!
Nitaua mtu aisee.




jf raha sanaMods pliz unganisha huu uzi na Makapuku Forum