sacajo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 1,385
- 4,493
Poa nimekupa tahadhar mapemaa.......maana ukiwa nyuma ya nondo unaweza taman ufeAhaaaaah komando kipensiiii tumekupata
Poa nimekupa tahadhar mapemaa.......maana ukiwa nyuma ya nondo unaweza taman ufeAhaaaaah komando kipensiiii tumekupata
Somalia hyooHapo Sudan au Somalia?
Kweli komando pasikie tuPoa nimekupa tahadhar mapemaa.......maana ukiwa nyuma ya nondo unaweza taman ufe
Msukuma au Mnyakyusa huyo? Dogo mwingine huyu hapa ananyaka muziki wa rock


Kazi ni ngumu mkuu. Tayari nimeshakongoroa karibia 80 pounds lakini kajitumbo nataka kawe flat. Ndipo mpambano ulipo!![]()
![]()
komaa utatoboaa
Tatzo huwez kuwa kama vijana wa sasa..,...Kazi ni ngumu mkuu. Tayari nimeshakongoroa karibia 80 pounds lakini kajitumbo nataka kawe flat. Ndipo mpambano ulipo!
Mkuu, kwani mimi ni kijana wa zamani? Daktari alinitisha aliponichimba mkwara eti nilikuwa nanyemelewa na hypertension. Na dawa pekee ilikuwa ni kuacha pombe na kupunguza uzito otherwise eti angenianzishia dozi kama asingeona mabadiliko. Nilimpa miezi mitatu na niliporudi hakuna cha pre-hypertension wala nini. Ni vizuri kuwa na afya nzuri na kuonekana vizuri pia!Tatzo huwez kuwa kama vijana wa sasa..,...
Briz upo!Buahahhahah... Dah nimeipenda hii
Inaelekea u kibongeMkuu, kwani mimi ni kijana wa zamani? Daktari alinitisha aliponichimba mkwara eti nilikuwa nanyemelewa na hypertension. Na dawa pekee ilikuwa ni kuacha pombe na kupunguza uzito otherwise eti angenianzishia dozi kama asingeona mabadiliko. Nilimpa miezi mitatu na niliporudi hakuna cha pre-hypertension wala nini. Ni vizuri kuwa na afya nzuri na kuonekana vizuri pia!
Briz kapotea sana, umeikuta page ipi post yakeBriz upo!
Alikuwepo 30min ago hapa jfBriz kapotea sana, umeikuta page ipi post yake
Kuwa kibonge ni tatizo mkuu? Le Mutuz mbona yupo anatetemesha Bongo na ukibonge wake? I was kibonge then siyo sasa. Nataka niwe kama wewe KagameInaelekea u kibonge



Inategemea mkuu, mm hata ninywe mafuta ukibonge haujiKuwa kibonge ni tatizo mkuu? Le Mutuz mbona yupo anatetemesha Bongo na ukibonge wake? I was kibonge then siyo sasa. Nataka niwe kama wewe Kagame![]()

Kuwa kibonge ni tatizo mkuu? Le Mutuz mbona yupo anatetemesha Bongo na ukibonge wake? I was kibonge then siyo sasa. Nataka niwe kama wewe Kagame![]()
Inategemea mkuu, mm hata ninywe mafuta ukibonge hauji![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
...kila mmoja humu anaujua ulaji wako, juisi ya ukwaju na kaukau, ukibonge utaupata vipi?

Achana nao, uko poa lakini!!!Niaje Wadau? Naona wanatudiss ila mioyoni mwao wanatukubali kiaina...
Una genes nzuri na metabolism ya mwendo kasi...Inategemea mkuu, mm hata ninywe mafuta ukibonge hauji![]()
![]()
![]()
![]()
![]()


