Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wapendwa Makapuku. Kumekucha. Ni siku nyingine tena tumebarikiwa. Nawaombea mibaraka tele. Hebu na tukatimize wajibu wetu kwa kutenda yale yampendezayo Mungu; kwa kuwabariki na kuwasaidia binadamu wenzetu hasa masikini wasio na kitu, mayatima na wagonjwa wanaoteseka mahospitalini. Na ikawe !!!
2518919978b9f7c19b9e8a4a6b820a85.jpg
 
Yani acha tu, kila nikiingia humu chitchat nakuta thread hii inatembeaa mbayaa.

Afu hao wachanguaji sasa, yaani wahuni wahuni flani hivii.
Michango imekaa kitoto, inaboa, inakeraa.

Mods ondoa bhana hii thread, aagrrrhrriihh!!
Nitaua mtu aisee.
kwanza ndo umeipa umaarufu ngoja nikapige chabo maana huwa sielewi nin kinaendelea kule....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom