Dr Kantangaze
Senior Member
- Jul 3, 2014
- 127
- 83
Mbona anaonekana mkongwe uyo sio kapuku
Mbona anaonekana mkongwe uyo sio kapuku
Mkuu kuna tofaut ya kutembea na kumficha....mkuu niombe radhi, huwa natembea na wasanii wa bongo movie tu
Watu zaidi ya watano wame like but still the sameHivi likes bado wanatubania?
Mods wanaiba likes za kapukuWatu zaidi ya watano wame like but still the same
Hata dalili ya kurudi hamna.Mkuu Nahrene amepotea
HahahaaaaMfano kama kapuku K 4 LIFE kila siku yuko mbuga ya mikumi na pikipiki yake,
Kabisa bitozi peace and love katika hii dunia ndio kila kitu bila kujali fulani alikutendea ubaya ganiNiko njema
Ukiona sijibu matusi ujue najua NENO na pia napenda kuwa peace na kila MTU
Duniani tunapita TU
.................
Mkuu fanya mpango na sisi tupate forum yetu kama inawezekanaHao labda na sisi tuanzishe jukwaa letu:
Hili inabidi lichukue na wasio na vyama, wasio na dini, wasio na mlengo wowote juu ya single mothers wala wadada over 30, wanaume wasio na upande kati ya Dar na mikoani na neatrals wote.
Peace.Kabisa bitozi peace and love katika hii dunia ndio kila kitu bila kujali fulani alikutendea ubaya gani
ulilazimishwa kujiunga JF mpaka usapoti ujinga kama huu kwanza hujawahi kuchangia hata sh 10 unalalamika watanzania tusipende kulalamika na haya ndio matatizo ya vitu vya bure ifike mahali JF ili uwe member uwe unalipia watu kama nyie mtapungua naomba viongozi mlifikile hiliMkuu fanya mpango na sisi tupate forum yetu kama inawezekana
Non-Alignment Forum wasiofungamana na upande wowote free soul and mind nitakuwa mwanachama hapa...
Youngblood uko njema aiseePeace.
Easy Easy taratibu mkuuulilazimishwa kujiunga JF mpaka usapoti ujinga kama huu kwanza hujawahi kuchangia hata sh 10 unalalamika watanzania tusipende kulalamika na haya ndio matatizo ya vitu vya bure ifike mahali JF ili uwe member uwe unalipia watu kama nyie mtapungua naomba viongozi mlifikile hili
nadhani wakati mwingine tusiwe wepesi wa kukubali hoja nyepesi kama hizi wapewe ushirikiano upi wakati humu watu tunatumia ID fake mm naona hao wametumwa tena ni virus wabaya sana tuwaogope kama ukoma na naomba wapewe ban wanataka kuleta mambo ya Fb na whatsaap unajua kuna watu wapo wana mapepo ya kukosanisha jamii wao kila watakapoenda wakitoka wanaacha watu hamko salamaAiseee...... tuwape ushirikiano bhasi
ulilazimishwa kujiunga JF mpaka usapoti ujinga kama huu kwanza hujawahi kuchangia hata sh 10 unalalamika watanzania tusipende kulalamika na haya ndio matatizo ya vitu vya bure ifike mahali JF ili uwe member uwe unalipia watu kama nyie mtapungua naomba viongozi mlifikile hili
sitaki nani kakwambia nimepaniki umeambiwa leo ni siku ya wajinga tena una bahati ningekuwa na uwezo ningekupiga banEasy Easy taratibu mkuu
quote yangu ya kwanza chini kabisa nimeandika (am kidding) sioni haja ya wewe kupanic kiasi hiki calm down achana na mastress utazeeka mapema mkuu