eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Uko njema na wewe bitoz safi sana habari yako lakini mkuu bitoz![]()
![]()
![]()
Amen
...........
Uko njema na wewe bitoz safi sana habari yako lakini mkuu bitoz![]()
![]()
![]()
Amen
...........
Ni nzuri Mkuu, habari ya maombezi.Habari za jumapili jaman ⛅
Robot la matope. Halitakiwi kubyeshewa mvuaMkuu hebu nielezee kidogo kuhusu hili Robot la matofali.
Niko njemaUko njema na wewe bitoz safi sana habari yako lakini mkuu bitoz
Karibu sana Mkuu.Nimerudi![]()
![]()
![]()
![]()
Sio mimi tu, makapuku woteeeee naona likes ziko 5 tuTaratibu utafikisha, usiwe na haraka.
Hahaha,kwahiyo unamaanisha wakati wa mvua kama hizi halifanyi kazi.Robot la matope. Halitakiwi kubyeshewa mvua
Hata sie tulikumiss sana, ingawa tuko wazima wa afya.Hamjambo wote?
Niliwamiss
Mkuu vipi shemeji hajambo?Karibu sana Mkuu.
Wapo, usijari utawapata ila kikubwa ukomae tu na uwe active.Natafuta mchumba sifa kubwa awe kapuku
mkuu umenena vyema sana
na ambao sio makapuku wala wakongwe wanakutana wapi na kila jumangapi?....am kiddin'
Emmyguy upo?Wapo, usijari utawapata ila kikubwa ukomae tu na uwe active.
Asante sanaKaribu sana Mkuu.
nipo sijambo shemMkuu vipi shemeji hajambo?
Hatuna tatizo kabisaaaaHali inaridhisha sasa, ndo maana wakongwe wameanza kutudiss.
Sisi hatuna tatizo na mtu.
Nilikuwa sijakuona shemeji.nipo sijambo shem
Point mkuu! Wanajiunga wiki hii wiki inayofuata na yeye awe "expert member", trophy poin 500, likes 4000..tatizo lao wanataka umaarufu wakati wamefika jana halafu wanataka kuwa sawa na kina lala
!! likes haziombwi ukiongea point watu watalike ukiona unapost kibao lakini hakuna likes unatakiwa uongeze kutanua misuli yako ya ubongo!!
