Camp Gilgal
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 4,453
- 4,594
Kwema humu?! Amani ya Bwana iwe nanyi.
Niko poa kaka!Youngblood uko njema aisee
Iko poa kabisa nimepumzika home hapa baada ya kutoka churchNiko poa kaka!
Jpili imekaaje?
Poa mkuu wewe nipige tu ban mimi namuachia Mungu!sitaki nani kakwambia nimepaniki umeambiwa leo ni siku ya wajinga tena una bahati ningekuwa na uwezo ningekupiga ban
Hahaha...
Huyu jamaa sikumuelewa kabisa kumbe ni viroba halafu najichosha kiasi hiki?
Raimundo umeona hapo juu jamaa atatupiga ban nimpe ile supu tu apumzike
sio tatizo lako ni umri unakusumbua ukikua utaacha nimekusamehe
Poa mkuu hamna noma.Iko poa kabisa nimepumzika home hapa baada ya kutoka church
ni kweli kabisaNaona watu wako busy na biblia kwa mda huu, sijui na mimi nifungue tv nisali TBC1!? Maana Kanisani ni mbali.
Fanya uniombee msamaha jamaa anaweza kunipiga ban mpaka mvua nyingine...Mi kasema umri wangu ni mdogo hatanipiga ban, dah mwana tutakumiss humu jukwaani jamaa akikupiga ban.
Asante kwa kunisamehe mkuu.
Hiyo kanisani ya wapi toka ijumaa.Atakuwa ameenda kanisani.
Aje ommyniaje mazee