Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nyinyi mnaonisikiliza nawaambieni wapendeni adui zenu watendeeni mema wale wanaowachukieni watakieni baraka wale wanaowalaani na waombeeni wale wanaowatendea mabaya
Mtu akikupiga shavu la 1 mgeuzie pia la pili yeyote atakaekuomba mpe na mtu akikunyang'anya mali yako usimtake akurudishie jinsi mnavyotaka watu wawatendee nyinyi watendeeni wao hivyo hivyo na ikiwa mnawapenda tu wale wanaowapenda nyinyi mtapata tuzo gani? Kwa maana hata wenye dhambi huwapenda wale wanaowapenda wao tena mkiwatendea mema wale tu wanaowatendea mema mtapata tuzo gani? Kwa kua hata wenye dhambi hufanya hayo pia na kama mkiwakopesha tu wale mnaodhani watawalipeni je mtapata tuzo gani ? Kwa kua hata wanye dhambi huwakopesha wenye dhambi wenzao ili warudishiwe kima kilekile
Ila nyinyi wapendeni adui zenu na kuwatendea mema kopesheni bila kutazamia kurudishiwa na tuzo lenu litakua kubwa nanyi mtakua watoto wa mungu alie juu kwa maana yeye ni mwema kwa wale wasio na shukrani na walio wabaya
Muwe na huruma kama baba yenu alivyo na huruma

Huu ni ujumbe wa jumapili kwa makapuku wote wa jf bila kuwasahau wakongwe luka 6/27-36
Mko poa lakini nyote humu makapuku wenzangu i hope mu wazima
 
Nyinyi mnaonisikiliza nawaambieni wapendeni adui zenu watendeeni mema wale wanaowachukieni watakieni baraka wale wanaowalaani na waombeeni wale wanaowatendea mabaya
Mtu akikupiga shavu la 1 mgeuzie pia la pili yeyote atakaekuomba mpe na mtu akikunyang'anya mali yako usimtake akurudishie jinsi mnavyotaka watu wawatendee nyinyi watendeeni wao hivyo hivyo na ikiwa mnawapenda tu wale wanaowapenda nyinyi mtapata tuzo gani? Kwa maana hata wenye dhambi huwapenda wale wanaowapenda wao tena mkiwatendea mema wale tu wanaowatendea mema mtapata tuzo gani? Kwa kua hata wenye dhambi hufanya hayo pia na kama mkiwakopesha tu wale mnaodhani watawalipeni je mtapata tuzo gani ? Kwa kua hata wanye dhambi huwakopesha wenye dhambi wenzao ili warudishiwe kima kilekile
Ila nyinyi wapendeni adui zenu na kuwatendea mema kopesheni bila kutazamia kurudishiwa na tuzo lenu litakua kubwa nanyi mtakua watoto wa mungu alie juu kwa maana yeye ni mwema kwa wale wasio na shukrani na walio wabaya
Muwe na huruma kama baba yenu alivyo na huruma

Huu ni ujumbe wa jumapili kwa makapuku wote wa jf bila kuwasahau wakongwe luka 6/27-36
Mko poa lakini nyote humu makapuku wenzangu i hope mu wazima
723edc248fe4623f78098d2a500d3690.jpg
8a080fe290a58d3d6301729e0c422643.jpg
6facaa6115d7a9b5353a596557f971ed.jpg


Amen
...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom