Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,933
Kuumbe!!!1971 - Robert Mensah anafariki.
Ni golikipa wa zamani wa Asante Kotoko Kumasi na timu ya taifa ya Ghana.
Ni moja kati ya magolikipa bora kuwahi kutokea katika bara hili la Afrika. Alikuwa na mbwembwe nyingi sana uwanjani.
Alikuwa akipenda kuvaa kofia awapo uwanjani hali iliyompelekea wachezaji wa timu za upinzani kuhisi jamaa anatumia juju kwenye kofia hiyo.
Aliuwawa kizembe kwa kupenda kwake ukorofi awapo mtaani.
Juma Pondamali " Mensah " aliiga jina lake.


una leseni ya magari makyubwa???