Salama kabisaKumekucha salamaaa...
.....
.....
!!!;!!!!Asubuhi kitabumorning guyz
NdioKumekucha salamaaa...
OkGoodnight fellaz
Una roho mbaya ndi manaJonax
Shululu
Quigley
Mussolin5
Macaveli10
Jimenna Jimenes
Tetramelys
Sacajo
Bitoz
Cobblepots
Mkushi wa kusi
Kitabu
Kitwanga....Miss you guys...haya ni maisha tu yanafanya nashindwa kutokea mara kwa mara ila sijawaacha nikiwa napata nafasi kama hivi nadumbukia nagonga likes....tunaendelea!![]()

Jonax
Shululu
Quigley
Mussolin5
Macaveli10
Jimenna Jimenes
Tetramelys
Sacajo
Bitoz
Cobblepots
Mkushi wa kusi
Kitabu
Kitwanga....Miss you guys...haya ni maisha tu yanafanya nashindwa kutokea mara kwa mara ila sijawaacha nikiwa napata nafasi kama hivi nadumbukia nagonga likes....tunaendelea!![]()

Tehe hadi mimi umenimiss sijaaminNa Briz shem wangu missing you![]()

Wewe ni Shabiki wa Yanga unaejitambuaMbona matukio mengi tu kavurunda
Ndio maana nilisema mechi imemshinda mfano kipindi cha kwanza mpira umesimama km DK 10+(matukio yote) halafu nyongeza kuweka 4 ile first half
![]()
![]()
![]()
![]()
Silalamikii matokeo ....hakuna ligi ambayo timu inachukua tu ubingwa kila msimu
Ubingwa siyo habari mpya kwa Yanga
Simba akichukua ndo habari mpya maana ana ukame
Kuna dalili zote Simba bingwa msimu huu....GAP la pts 8 kubwa sana labda mzembee
.......
