Makapuku Forum

Makapuku Forum

1971 - Robert Mensah anafariki.

Ni golikipa wa zamani wa Asante Kotoko Kumasi na timu ya taifa ya Ghana.

Ni moja kati ya magolikipa bora kuwahi kutokea katika bara hili la Afrika. Alikuwa na mbwembwe nyingi sana uwanjani.

Alikuwa akipenda kuvaa kofia awapo uwanjani hali iliyompelekea wachezaji wa timu za upinzani kuhisi jamaa anatumia juju kwenye kofia hiyo.

Aliuwawa kizembe kwa kupenda kwake ukorofi awapo mtaani.

Juma Pondamali " Mensah " aliiga jina lake.
 
1953 - Katiba ya Nchi ya Pakistan yapendekeza nchi hiyo kuitwa Jamhuri ya Kiislamu ya Pakistan.
IMG_20161102_111959.jpeg
Screenshot_2016-11-02-11-18-57.png
 
1971 - Robert Mensah anafariki.

Ni golikipa wa zamani wa Asante Kotoko Kumasi na timu ya taifa ya Ghana.

Ni moja kati ya magolikipa bora kuwahi kutokea katika bara hili la Afrika. Alikuwa na mbwembwe nyingi sana uwanjani.

Alikuwa akipenda kuvaa kofia awapo uwanjani hali iliyompelekea wachezaji wa timu za upinzani kuhisi jamaa anatumia juju kwenye kofia hiyo.

Aliuwawa kizembe kwa kupenda kwake ukorofi awapo mtaani.

Juma Pondamali " Mensah " aliiga jina lake.
Screenshot_2016-11-02-11-48-59.png
IMG_20161102_115033.jpeg
IMG_20161102_115023.jpeg
 
1971 - Robert Mensah anafariki.

Ni golikipa wa zamani wa Asante Kotoko Kumasi na timu ya taifa ya Ghana.

Ni moja kati ya magolikipa bora kuwahi kutokea katika bara hili la Afrika. Alikuwa na mbwembwe nyingi sana uwanjani.

Alikuwa akipenda kuvaa kofia awapo uwanjani hali iliyompelekea wachezaji wa timu za upinzani kuhisi jamaa anatumia juju kwenye kofia hiyo.

Aliuwawa kizembe kwa kupenda kwake ukorofi awapo mtaani.

Juma Pondamali " Mensah " aliiga jina lake.
RIP
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom