makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,442
- 108,486
Akasome huko..Kahama moja hiyo
Akasome huko..Kahama moja hiyo
R I P Gafafi2011 - Kanali Muammar Gaddafi anafariki Dunia.
Alikuwa ni kiongozi wa Libya aliyedumu madarakani kwa miaka 42 na aliyeuwawa na waasi kwa msaada wa majeshi ya Nato.
PamojaPamija
Sina maana hiyo!!?Haaaahaaaa, mbona unamchokoza mtumishi?
[emoji106] [emoji106]Kwema
Madrid fainali haion hata aende kwa mganga wa diamond..Hao watakutana fainali
Tunawapiga tuNataka kwenye hatua za mitoano Arsenal akutane na Barcelona, Madrid au atlentico.
Asante sana kwa historia bepariLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Lionel Messi Messiah Computer La Pulga " Chawa ". Mchezaji bora kabisa kuwahi kutokea Duniani nawatakia siku njema.
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Kila mtu anamjua
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ankali wapi NukuuMorning Ankali JJ
Halaf ndio ushalipa buku 25..Mzungu sio mtu wa mchezo mchezo etii[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa hali hii ni hatari sanaHatar sana, weka mbali na watoto..
Messi amestahili udhamin wa leo..Asante sana kwa historia bepari
Udhamini hapo ndio nabisha. Umempamba sana huyo Messi
Sisi tunatoboa vizuri tuKazi fitna tu, haya ndi tukishakutana nao.. Labda barca na atletico kidogo, madrid ishakuwa supu ya mbwaa
Halaf bahat mbaya sasa madrid na barcelona wanamalza nafas za kwanza kwenye makundi yao, arsenala nae ana nafasi nzur ya kumalza nafas ya kwanza, mchawi psg tu hapa kwenye game ya mwisho
Shemla wapi pacha???Ni kama vile nyumba ilijengwa kabla ya paa
Morning. Mambo niaje?Goodmorning Shemela
Tangu liniNina like sana tu mie wala sina majivuno etii[emoji17]
Unataka kuchukua mikoba ya shekhee Yahya?Arsenal kila wakati? Amekutana nae mara tatu mfulilizo kama sikosei!
Bora Barcelona akutane na Madrid
Atakuwa kakataliwaQuigley leo naona umeamka na mungu mungu.. Toka lini ukamjua mumgu wewe.. Au ushapata email kitabu chako cha kuish dunian kishakatwa utepe..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ungekuwa hiv siku zote saa hizi peponi ungekuwa na mabangalow first eleven
Leo kombe la umitashumtaHao watakutana fainali