Makapuku Forum

Makapuku Forum

Kazi fitna tu, haya ndi tukishakutana nao.. Labda barca na atletico kidogo, madrid ishakuwa supu ya mbwaa

Halaf bahat mbaya sasa madrid na barcelona wanamalza nafas za kwanza kwenye makundi yao, arsenala nae ana nafasi nzur ya kumalza nafas ya kwanza, mchawi psg tu hapa kwenye game ya mwisho
Sisi tunatoboa vizuri tu
 
Back
Top Bottom