Makapuku Forum

Makapuku Forum

2011 - Kanali Muammar Gaddafi anafariki Dunia.

Alikuwa ni kiongozi wa Libya aliyedumu madarakani kwa miaka 42 na aliyeuwawa na waasi kwa msaada wa majeshi ya Nato.
Screenshot_2016-10-20-09-55-53.png
IMG_20161020_095743.jpeg
IMG_20161020_095734.jpeg
 
1951 - Claudio Ranieri anazaliwa.

Ni kocha wa zamani wa Chelsea, Atletico Madrid, Monaco, Inter Milan, As Roma, na sasa Leicester City.

Kocha huyo wa kiitaliano maarufu kama " Tinker Man " msimu uliopita alishinda taji la EPL bila kutarajiwa na kikosi cha Leicester City.
Mgomvi wa mourinho..

Japo kakiri kuwa now hawana tofaut
 
Quigley leo naona umeamka na mungu mungu.. Toka lini ukamjua mumgu wewe.. Au ushapata email kitabu chako cha kuish dunian kishakatwa utepe..[emoji23] [emoji23] [emoji23]


Ungekuwa hiv siku zote saa hizi peponi ungekuwa na mabangalow first eleven
Mkuu ndivyo nilivyoanza wakati najiunga huku, niliteleza njiani, Sasa nimemrudia Mungu
 
Tunakusubiri sana Aubameyang, maana Messi anatutoa jashoView attachment 421217siyo kwa kipondo kile alichomshushia Manchester city
CC: werrason kuja huku utoe ufafanuzi wa team yako
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Nilijua kuna kuvuliwa nguo huko, hivyo nilijiandaa kisaikolojia!!!

Kwanza sikwenda kuangalia mechi!
Timu zote za EPL zinamjua Messi, Arsenal aliwapiga 4!!! Labda Chelsea tu ndio wanaiweza Barcelona[emoji124]
 
Back
Top Bottom