Makapuku Forum

Makapuku Forum

1947 - Nchi za Marekani na Pakistan zaanzisha mahusiano ya kidiplomasia kwa mara ya kwanza.
IMG_20161020_084058.jpeg
 
1951 - Claudio Ranieri anazaliwa.

Ni kocha wa zamani wa Chelsea, Atletico Madrid, Monaco, Inter Milan, As Roma, na sasa Leicester City.

Kocha huyo wa kiitaliano maarufu kama " Tinker Man " msimu uliopita alishinda taji la EPL bila kutarajiwa na kikosi cha Leicester City.
 
Back
Top Bottom