Makapuku Forum

Makapuku Forum

Huyu wangu kiboko.. Na ndio maana nafaid pekee yangu, michepuko inamshindwa.. Na anajua kuwa shughuli pevu, ananipikia msosi mzito maprotein ya kutosha, mazoez asubuh na jion..

Lait kama mazoez ninayofanya ningekuwa sidinyi hata kidog au nadinya hawa wa nusuu saa kwake adhabu, hope ningekuwa the strongest man kwenye dunia hii
Jirani kwenye ubora wake
 
[emoji12] we dogo acha mazereu
Nyie endeleen kugombania hilo kombe la ligi alafu mlikose ndo mtajua kiazi pia ni kitafunio.

Sisi tumeshabeba ngao ya hisani, hvyo tynachokifuta machozi
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Back
Top Bottom