Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
1971 - Snopp Dogg anazaliwa.
Ni rapa wa muziki wa Hiphop tika nchini Marekani na ambaye anatarajiwa kuja nchini kwenye tamasha ka Fiesta.
1971 - Snopp Dogg anazaliwa.
Ni rapa wa muziki wa Hiphop tika nchini Marekani na ambaye anatarajiwa kuja nchini kwenye tamasha ka Fiesta.
Shemeji yako huyo.. Sweetiepie
Alitakiwa kuwa dikteta kwa sura yake ilivyo1971 - Snopp Dogg anazaliwa.
Ni rapa wa muziki wa Hiphop tika nchini Marekani na ambaye anatarajiwa kuja nchini kwenye tamasha ka Fiesta.
Nishaupata sheikh wangu.. Mh alitoa boko haramMakaveli na mkushi pateni ushahidi hapo
Salama tu, vip hali ndugu yangu!?Za masiku ndugu yaangu
Kafichwa na warembo wa mjini..
RIP2011 - Kanali Muammar Gaddafi anafariki Dunia.
Alikuwa ni kiongozi wa Libya aliyedumu madarakani kwa miaka 42 na aliyeuwawa na waasi kwa msaada wa majeshi ya Nato.
Pamoja sana mwenyekitiAhsante Iron Lady.
Ni kama vile nyumba ilijengwa kabla ya paaKidole kiliumbwa kabla ya kucha!!
1983 - Michel Vorm anazaliwa.
Ni kipa wa zamani wa Swansea ambaye kwasasa anacheza Spurs kama kipa namba 2.
Pia huchezea timu ya taifa ya Uholanzi.
Oya vip wewe banyamulenge..[emoji4] [emoji124] [emoji445] [emoji444] [emoji443]
Asante sana kwa leo katika historia murua kabisaLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Lionel Messi Messiah Computer La Pulga " Chawa ". Mchezaji bora kabisa kuwahi kutokea Duniani nawatakia siku njema.
Akiniletea vumbi la kongo aje na sanda kwa ajili ya huyu mtoto wa watu, maana hapa situmii vumbii balaa lake anaipoza kwa feni, ana lala masaa 20 kwa uchov wake.. Sasa vumbi si ndio ataenda mochwari[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukirudi tz umletee makaveli10 vumbi la congo
Goodmorning ShemelaMorning family
Usimsikilize huyo tenteme tentemeBunduki yake inakwama?
Hyo mbona imetolewa bila ya vumbi!!!Hahahaha, kwani hujaiona dozi anayojipanga kuitoa hapo juu?
Huyo ndio mwenye shida..Me nimemjibu alienambia nimletee vumbi la Congo, au niliem-quote ndiye mwenye shida???[emoji15]
Sema unaitaka wewe bhana, usitumie migongo ya watu bure..Mi nimekwambia umletee makaveli kwasababu ya ratiba yake kama alivyoiainisha hapo juu, sasa hujaelewa nini hapo
Mtake radhi kwa kweli!!Karibu JJView attachment 420868