briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Mhh! hii haikupangwa kweli??7.wote waliuwa siku ya ijumaa,na wote walipigwa risasi kichwani.
8.katibu mkuu wa lincoln aliitwa KENNEDY.
na katibu mkuu wa kennedy aliitwa LINCOLN.
9.wote walikuwa na makamu wa rais mwenye jina moja,JOHNSON.
kwa kuwa Bitoz ameleta picha basi tukutane kesho
The Book wa Makapuku kwa msaada wa mtandao.




Maybe dk. Kigwa
