makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,011
- 104,591
Kwan wabongoland hutujui..Yalitolewa maelezo utafikiri sisi ndio wagunduzi wa hiyo ndege
Kwan wabongoland hutujui..Yalitolewa maelezo utafikiri sisi ndio wagunduzi wa hiyo ndege
1976 - Andriy Shevchenko anazaliwa.
Mchezaji wa zamani wa Chelsea, Ac Milan na timu ya taifa ya Ukraine.
HBD Marter1984 - Per Martersacker anazaliwa.
Ni beki wa Arsenal. Pia aliwahi kutamba na timu ya taifa ya Ujerumani.
Alishinda ubingwa wa Dunia akiwa na Ujerumani mwaka 2014.
Enzi zake sasa, ila Ac Milan ya wakati huo itachukua muda kupata timu kama hiyo tena1976 - Andriy Shevchenko anazaliwa.
Mchezaji wa zamani wa Chelsea, Ac Milan na timu ya taifa ya Ukraine.
1902 - Miguel Alemen Valdes anazaliwa.
Alikuwa Rais wa 46 wa Mexico.
Poa kabisa, tunajenga taifaNiambie ndugu yangu
Thanks MussoLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Europa League, tuonane kesho.
HPD Mertersacker, ila endelea kuumwa tu1984 - Per Martersacker anazaliwa.
Ni beki wa Arsenal. Pia aliwahi kutamba na timu ya taifa ya Ujerumani.
Alishinda ubingwa wa Dunia akiwa na Ujerumani mwaka 2014.
Asante mussolinLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Europa League, tuonane kesho.
1936 - Silvio Berlusconi anazaliwa.
Ni mfanyabiashara mashuhuri toka nchini Italy.
Ni mmiliki wa zamani wa Ac Milan.
Ngoja kwanza tujenge viwandawagunduzi wa TZ lini?
Utunze moyo wako na dhidi ya magonjwaTuufanyeje sasa moyo
Imetulia sana kwa sasa![]()
beki imetulia asipokuwepo?
Kumbuka kuna mafuta kwa ajili ya Injini ya Diesel na Petrol hivyo baada ya kugundua Injini ya dizeli, autimatic mafuta yakapewa jina la injini yake.Asa diesel mafuta yalipewa jina lake au yeye baada ya kugundua hiyo injini akajibatiza???