Makapuku Forum

Makapuku Forum

d0ed45ac40bbc44e9d26faca4dde30c0.jpg
d1cefa180a0e058bca8d552546a54311.jpg
View attachment 408862
Mrembo
.......
Sana, kama uzee tu yuko hivyo, je ujana wake alikiwaje
 
*```Kijana mmoja alikuwa amekaa katika siti ya Basi pembeni ya Mzee mmoja akila chokleti wakati wakisubiri kuanza safari, alipomaliza akanunua chokleti ingine akaanza kula, yule Mzee wa pembeni yake akamwambia kijana "Unajua kama Chokleti zitaozesha meno yako?, yule kijana akajibu " Babu yangu aliishi miaka 140", Yule Mzee akastaajabu na kuuliza tena,"Je babu yako nae alikuwa akila sana chokleti?", kijana akajibu "Alikuwa hafuatiliii maisha ya wengine"```*
sipendi ujinga mimi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom