Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,092
- 8,786
Eti peterchoka ...hebu kuja kipande hii.Nasikia peterchoka ni kama dimpoz a.k.a joka la mdimu.
Eti peterchoka ...hebu kuja kipande hii.Nasikia peterchoka ni kama dimpoz a.k.a joka la mdimu.
Safi sana mkuu.Kapuku hapa umeonyesha ubora wako. Kweli kabisa sisi sio mkia. Jamani humu nachart lakini kazi zinaenda...mkiona nimepotea hewani jua narekebisha tu. Asanteni kwa kampani yenu
Haya sawa.Halishindi langu..kuna watu wanatoana roho kwa ajili ya begi langu orijino. Made from unknown eti.
Kiboko "fimbo" unachapa mpaka nyama inatoka si mchezo hahahahhaaKiboko "Hippopotamus" au kiboko "fimbo"??
Watu tunataka kuona zikizidi siyo kusikia kwamba zinazidi.zinakuwa zaidi ya 5 ila zinaonekana 5 tu
Asante mkuu,salamu zako zimepenya chumba cha siri kabisa cha moyo wangu,karibu mkuu.Patience123 manuu kaku recommend kwangu, nakusalimia mkuu
Umejuaje kama na wewe si mchawi, tuu wachawi wote hahaaahaaaa......wewe ni mchawi
Fanya utambulisho mkuu, au anahitaji powerPatience123 please soma hii na muelewe tu huyu ndugu yangu..
Nilifunuliwa kitambo sana,na nilimuelewa kabla hata hajaandika hii...nilikuwa pahala namsubiri mkuu. Wewe umekuwa sababu ya kumfikisha kwangu. Ubarikiwe mkuuPatience123 please soma hii na muelewe tu huyu ndugu yangu..
nakupenda Patience123Asante mkuu,salamu zako zimepenya chumba cha siri kabisa cha moyo wangu,karibu mkuu.
muulize mke wangu LinamoEti peterchoka ...hebu kuja kipande hii.
Umeonaa eeeh!!hata me nimekosa la kumjibu kwa kweli ...
Kweli mkuu andaa list ya wachoyo wa like,mtu akigundulika anabania like tunatumia hii formula yetu ya (-1or >-1)Ninaanda list yao na nitaiweka hapa barazani mkuu,
1 Like = 1+
0 Like -1
Hapa chichemi..chili,chitemi wala chimumunyi...naangalia tu kwa macho.wenye wake na mvua hii tuna raha sana..ukigeuka unaulizwa "Honey unataka tena?
CHAPUTA SABUNI ZITAOMBA POO LEO
Hi,mbona unajificha?
aiseeNasikia peterchoka ni kama dimpoz a.k.a joka la mdimu.
Tuwapate wapi watu kama wewe, mbona inakuwa kama habari ya Nathanieli na Yesu vile, barikiwa mkuu kwa jicho la 3Nilifunuliwa kitambo sana,na nilimuelewa kabla hata hajaandika hii...nilikuwa pahala namsubiri mkuu. Wewe umekuwa sababu ya kumfikisha kwangu. Ubarikiwe mkuu