Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tafadhari sana naomba usimwage kama maji kwenye ardhi ya kichanga akatikomea zake. Patience123 mambo yote huanza kama mchepuko baadae kona ya ghafla mnamilikiana.
Naogopa kumuumiza mwanamke mwenzangu eti..maana huyo nikimuweka kwenye kumi na nane zangu hachomoki..si kwa mizizi wala hirizi...bali moyo wake utarizia.
 
Makapuku wenzangu nimeamua kufungua biashara ya kuuza mabegi tupeane support.
9273320f3ba0c11e7bdfe41185a4e0bf.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom