ibra87
R I P
- Jul 22, 2015
- 5,614
- 5,360
karibu Pm bibieHapa chichemi..chili,chitemi wala chimumunyi...naangalia tu kwa macho.
karibu Pm bibieHapa chichemi..chili,chitemi wala chimumunyi...naangalia tu kwa macho.
Inabidi watu waongeze budget ya SABUNI.wenye wake na mvua hii tuna raha sana..ukigeuka unaulizwa "Honey unataka tena?
CHAPUTA SABUNI ZITAOMBA POO LEO
Komaa mpka kieleweke chalii wa kwangu..ningechukua arif ila kwa bahati mbaya mm kuna mmoja namlia timing
jambilonakupenda Patience123
kwa neno hili wenye wake zenu muwe makiniTuwapate wapi watu kama wewe, mbona inakuwa kama habari ya Nathanieli na Yesu vile, barikiwa mkuu kwa jicho la 3
Karibu mama jisikie uko nyumbani.Nyie makapuku mnani-tag wenyewe huku halafu makapuku wengine wanajidai kuuuliza, umefuata nini huku" kama vile hii si open forum.
Mkuu Patience123 ni binti mrembo sana na kuna kila dalili za nyie kutengeneza bonge la couple..Hebu nieleze juu ya patience123
Ibra87 umejipanga lakin!nakupenda Patience123
we vunga sio mda damu changa ataanza kulia kama beberuKomaa mpka kieleweke chalii wa kwangu..
Mkuu mimi nimesikia hizi tetesi humu ndani.aisee
Hahahaha watu wanaspidi za 4G usipimekwa neno hili wenye wake zenu muwe makini
Sawa wacha Patience123 kutna na jambilo ni kijana mtanashati sana ila si muongeaji sana na mara mingi akikutana na binti mkali kama wewe hupenda kuangalia chini si aibu ila anatafakari akutoeje...Kichapaa..Fanya utambulisho mkuu, au anahitaji power
LUMUMBA imeniwezesha mkuu naweza kwenda POLISI nkatia makofi wote harafu siguswiIbra87 umejipanga lakin!
Ha ha ha ha haaaaa....maono yako yana chenga chenga...maana unavyosifia si mchezo.Mkuu Patience123 ni binti mrembo sana na kuna kila dalili za nyie kutengeneza bonge la couple..
My Godness jambilo kuja hapa na useme unataka Mungu akupe nini tena hakika maombi yako yamesikilizwa...Nakushukuru sana Patience123 kwa kuwa muungwana kwa ndugu yangu huyu..Nilifunuliwa kitambo sana,na nilimuelewa kabla hata hajaandika hii...nilikuwa pahala namsubiri mkuu. Wewe umekuwa sababu ya kumfikisha kwangu. Ubarikiwe mkuu
Mkuu malizia utambulisho basi!!!Komaa mpka kieleweke chalii wa kwangu..
Mkuu umeniita!we vunga sio mda damu changa ataanza kulia kama beberu