shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
The Book Asante sana kwa uchambuzi murua kabisaJE WAJUA??
UEFA CHAMPIONS LEAGUE
The Book wa Makapuku kwa msaada wa mtandao.
- Arsenal wanashikilia rekodi ya kuingia kwenye mashindano na wachezaji 11 kutoka mataifa kumi na moja tofauti,kila mchezaji na nchi yake.
- Real Madrid inashikilia rekodi ya kushinda mara nyingi zaidi (11) na rekodi ya kushinda mara 5 mfululizo(1956-1960)
- Barca inashikilia rekodi ya kufika nusu fainali mara sita mfululizo.
- Ni wachezaji wawili tu waliopewa kadi nyekundu katika mchezo wa "fainali",ambao ni Jens Lehman wa Arsenal na Didier Drogba wa Chelsea.
- Benifica inashikilia rekodi ya kushinda magoli mengi zaidi katika mechi mbili dhidi ya Dudelange ambapo ilishinda kwa jumla ya magoli 18-0.
- Mchezaji mkubwa zaidi kucheza UEFA ni Marco Ballorta wa Lazio akiwa na miaka 43.Na mdogo zaidi ni muafrika Celestine Babayaro akiwa na miaka 16.
- Mwaka 1967 Celtic ilivunja rekodi ya kushinda kombe hilo ikiwa na wachezaji wote wazaliwa wa eneo moja(kilomita 50 kutoka uwanja wao wa nyumbani)
- Goli la mapema zaidi ni la Roy Maakay wa Bayern Muchen katika sekunde ya 10.

