Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Hahaa... Anamalzia uchov wa vipigo vya kikubwa..

Hahaa... Anamalzia uchov wa vipigo vya kikubwa..

Hao walikuwa pwani tuBongo walikuja waarabu wakatuachia tende tu na waharabu koko wao.....Shabaaaash!!![]()
Hhmm.. Haya..Hajanitafuna luv ondoa shaka.
Poyee bbyHapo ndio miyeyusho kwetu sote.. Nakumbuka form 6 niko azania pale napiga PCM nikampa mimba binti mmoja yuko chuo.. Ndugu yangu nilitaman dunia ipasuke nidumbukie ndani.. Sio kwa shida nilizokuwa nakumbana nazo..![]()
![]()
![]()
![]()
Uzur siku zinapita na matatzo pia yatapiata![]()
![]()
![]()
Fact hiyo ndio sababu ya Kenya kuwa vile sisi tulitawaliw indirectWaingereza waliifanya kenya kama makao makuu yao hapa East Africa,hivyo wazungu wengi walikaa pale,walipoondoka waliacha kenya imara and the same to south africa
Apo sawa! Shululu anataka tikiti ya kwenda na kurudi!!!Si ntarud kwa pesa yangu.. Kwani mie hela ya nauli kurud tz from madagasca na kukaa wikii moja ndio itanishinda mkuu..

vita ya kagera ilisababisha kuporomoka kwa uchumi,hivyo ilitubidi tuanze upya...lakini kiburi cha nyerere kupingana na "Capitalist" na kuwa "mjamaa"..wakenya wao walikuwa upande wa capitalist,ila nyerere ni mtu wa ajabu sana wakati anaondoka madarakani alisema "KWENYE UPANDE WA UCHUMI TUMEFELI,TUKUBALI HIVYO".Tatzo sio kenya kuachwa imara.. Swali ni kwanini sisi tumerudi chini kutoka pale tulipoachiwa.. Miaka kama 18 hv au 20 tulikuwa na uchumi mzur tu baada ya uhuru..
Bongo walijaa wanyonyaji tu...wametuachia mapango ya kumbukumbu japo sio mbaya kwa Tourism...Sasa hayo majumba chakavu ambayo serikali yetu baadhi inayafanya ofisi. Shame
Umaskin wa fikraWamekuja hadi darHao walikuwa pwani tu
Najua wewe mukongo unataka kuzamiaApo sawa! Shululu anataka tikiti ya kwenda na kurudi!!!![]()
![]()
Kuza network ya marafiki.Hhmm.. Haya..
Sasa mbona anajidai kunikubali sana!?
Ni kusonga mbele tu maana ishatokea hiyo na hamna namna...we cannot turn back the years.![]()
ahsantee mpnz.
Kiaje?![]()
Umaskin wa fikra
Sasa mm hilo tatizo lako lilinipata nikiwa form 3,Hapo ndio miyeyusho kwetu sote.. Nakumbuka form 6 niko azania pale napiga PCM nikampa mimba binti mmoja yuko chuo.. Ndugu yangu nilitaman dunia ipasuke nidumbukie ndani.. Sio kwa shida nilizokuwa nakumbana nazo..![]()
![]()
![]()
![]()
Uzur siku zinapita na matatzo pia yatapiata![]()
![]()
![]()
Aah!!! Wapi!!! Sina shida ndogo kaa hizo, Me nawaza mambo ya dollarz in term of billionzNajua wewe mukongo unataka kuzamia

Acha eti leo hii imebaki historia tuHakuna maisha yasiyokuwa na historia
Ndo sabb ya kutumia majengo ya mkolon kama ofisi badala ya kuyatumia kwa ajili ya utalii na kupata pato kubwaKiaje?
pole Ila kushi Haina tabu hayo mengine achaSasa mm hilo tatizo lako lilinipata nikiwa form 3,
Stress iliniandama sana na ndo chanzo cha kuanza kutumia mataputapu yote yaletayo stimu mwilin mwangu mpk leo hii