Makapuku Forum

Makapuku Forum

JE WAJUA??
UEFA CHAMPIONS LEAGUE
  • Arsenal wanashikilia rekodi ya kuingia kwenye mashindano na wachezaji 11 kutoka mataifa kumi na moja tofauti,kila mchezaji na nchi yake.
  • Real Madrid inashikilia rekodi ya kushinda mara nyingi zaidi (11) na rekodi ya kushinda mara 5 mfululizo(1956-1960)
  • Barca inashikilia rekodi ya kufika nusu fainali mara sita mfululizo.
  • Ni wachezaji wawili tu waliopewa kadi nyekundu katika mchezo wa "fainali",ambao ni Jens Lehman wa Arsenal na Didier Drogba wa Chelsea.
  • Benifica inashikilia rekodi ya kushinda magoli mengi zaidi katika mechi mbili dhidi ya Dudelange ambapo ilishinda kwa jumla ya magoli 18-0.
  • Mchezaji mkubwa zaidi kucheza UEFA ni Marco Ballorta wa Lazio akiwa na miaka 43.Na mdogo zaidi ni muafrika Celestine Babayaro akiwa na miaka 16.
  • Mwaka 1967 Celtic ilivunja rekodi ya kushinda kombe hilo ikiwa na wachezaji wote wazaliwa wa eneo moja(kilomita 50 kutoka uwanja wao wa nyumbani)
  • Goli la mapema zaidi ni la Roy Maakay wa Bayern Muchen katika sekunde ya 10.
The Book wa Makapuku kwa msaada wa mtandao.
 
JE WAJUA??
UEFA CHAMPIONS LEAGUE
  • Arsenal wanashikilia rekodi ya kuingia kwenye mashindano na wachezaji 11 kutoka mataifa kumi na moja tofauti,kila mchezaji na nchi yake.
  • Real Madrid inashikilia rekodi ya kushinda mara nyingi zaidi (11) na rekodi ya kushinda mara 5 mfululizo(1956-1960)
  • Barca inashikilia rekodi ya kufika nusu fainali mara sita mfululizo.
  • Ni wachezaji wawili tu waliopewa kadi nyekundu katika mchezo wa "fainali",ambao ni Jens Lehman wa Arsenal na Didier Drogba wa Chelsea.
  • Benifica inashikilia rekodi ya kushinda magoli mengi zaidi katika mechi mbili dhidi ya Dudelange ambapo ilishinda kwa jumla ya magoli 18-0.
  • Mchezaji mkubwa zaidi kucheza UEFA ni Marco Ballorta wa Lazio akiwa na miaka 43.Na mdogo zaidi ni muafrika Celestine Babayaro akiwa na miaka 16.
  • Mwaka 1967 Celtic ilivunja rekodi ya kushinda kombe hilo ikiwa na wachezaji wote wazaliwa wa eneo moja(kilomita 50 kutoka uwanja wao wa nyumbani)
  • Goli la mapema zaidi ni la Roy Maakay wa Bayern Muchen katika sekunde ya 10.
The Book wa Makapuku kwa msaada wa mtandao.
Safi sana the book


Nb: real Madrid hili kombe pia la UEFA lazima wachukue ili wakamilishe dozen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom