shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Upo QuigleyShikamooni family...nnawamissi sana
Upo QuigleyShikamooni family...nnawamissi sana
Endelea kulaBado nakula viporo
Je alifunga au aliikosa?PENATI YA KWANZA KATIKA SOKA
Penati ya kwanza kupigwa katika historia ya soka duniani ilikuwa ni tarehe 14 sep. mwaka 1891.Mechi kati ya WOLVERHAMPTON dhidi ya ACCRINGTON,mchezaji wa wolves,"Bill Heath" ndiye aliyepiga penati hiyo
.View attachment 407651
Analazimisha sasaMi simtambui kabisa
Huyu naye ni kama Malaika asiyejalibiwaMorning gani saa hizi??
Kiyambamkuba weebasi yesheeee
Halaf umkute hayat lufufu ametafsri utachoka..Huyu yuko vizurii......anaongea taratibu kama mtoto
Maisha lain na mworor.. Sio huku kero tuu..Mimi nilikaa Dodoma, basi yaani
Mkoani hakuna pressure kabisa
Sasa ndio utunukishe harufu mbaya kama ...............Tulia wewe mroho![]()
![]()
Shukran mr the bookUsiyoyajua kuhusu Mpira wa Miguu!!
- Mwanasoka wa brazil,"Pele" alipewa jina hilo la utani lenye maana ya "miguu sita" kwa kuwa alikuwa na vidole sita miguuni.
- Mnamo mwaka 1964 simu aliyopokea refa uwanjani huko nchini peru ilisababisha vifo vya watu 300 kutokana na vurugu.
- Katika kombe la dunia mwaka 1950 timu ya taifa ya india ilitaka kucheza peku lakini FIFA wakagoma,timu hiyo ilisusia mashindano.
The Book,kwa msaada wa mtandao.
- Pele alipokwenda nigeria kucheza soka katika mechi ya ngao ya hisani,pande 2 zilizokuwa zinapigana vita zilikubaliana kusitisha vita hiyo kwa masaa 48.
Wahindi na mashkolo mageniUsiyoyajua kuhusu Mpira wa Miguu!!
- Mwanasoka wa brazil,"Pele" alipewa jina hilo la utani lenye maana ya "miguu sita" kwa kuwa alikuwa na vidole sita miguuni.
- Mnamo mwaka 1964 simu aliyopokea refa uwanjani huko nchini peru ilisababisha vifo vya watu 300 kutokana na vurugu.
- Katika kombe la dunia mwaka 1950 timu ya taifa ya india ilitaka kucheza peku lakini FIFA wakagoma,timu hiyo ilisusia mashindano.
The Book,kwa msaada wa mtandao.
- Pele alipokwenda nigeria kucheza soka katika mechi ya ngao ya hisani,pande 2 zilizokuwa zinapigana vita zilikubaliana kusitisha vita hiyo kwa masaa 48.

Wanaanzaje kwa mfano!!![]()
![]()
umeibiwaa
Glabella yako ina square ngapi !!?Je wajua kuwa "THE AREA BETWEEN YOUR EYEBROWS IS CALLED "GLABELLA""
Kwa Leo niishie hapo.....kwa udhamini wa makapuku wotee