Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo Katika Historia Orijino:

Ni siku ya Kimataifa ya Utalii.
Leo yatupasa kwenda kutalii.. Nilikuwa siijui hii siku.. Next year ntajipanga nikatalii siku kama ya leo roho ikiwa hai inshaallah..

Ila serikali inapaswa kuitazama siku kama hii kuboresha utalii nchin.. Leo ilibid kuwe na ofa za kutosha..
 
Muda wa segment kila mtu story zake zihusu segment siyo blahblah....siyo lazima kila mtu kapost wakati hana cha kuchangia

Segment zenyewe zipo chache lakini kuna wazushi hawaoni umuhimu wake hadi Siku mtu aache kuzileta halafu wataanza kelele fulani mbona huleti kile kipindi?
UNAFIKI
...............
Awful
 
1976 - Francesco Totti anazaliwa.

Ni kepteni wa Klabu ya A.S Roma ya Nchini Italia.

Alikuwa ni sehemu ya kikosi cha Timu ya Taifa ya Italy kilichotwaa Ubingwa wa Kombe la Dunia la Mwaka 2006 pale Ujerumani.

Anachukuliwa kama mchezaji bora wa wakati wote katika klabu ya Roma, kwani amechezea klabu hiyo hiyo tu na wala hajawahi kuhama.

Wanasema baada Papa, anayefata kwa Umaarufu ndani ya Jiji la Roma ni Francesco Totti.

Pia hujulikana kama, " El Capitano De La Roma. "
Mfalme wa roma.. Jamaa anaheshima sana jiji lile.. Kama unahitaji kufa usihangaike kunywa sumu.. Nenda roma ktk stadio olympico kamtusi totti.. Ukipona hufi leo wala kesho..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom