Makapuku Forum

Makapuku Forum

Huyo Kikofia msimsikilize ni tapeli mkubwa hapa mjini msikilize

....mi naumwa pia kuna kitu kimeniweka bize si mnajua siyo kila siku lazima niwepo
Hii ni thread ya Makapuku wote
Nisipokuwepo mimi au Jimena nyie lisongesheni tu sio kupiga mi kelele
.............

I can't imagine Makapuku family without you guys
 
Wale wa simba tukutane taifa temeke leo hii
1474692119792.jpg
 
*Mzee* mmoja aliongozana na *Binti* yake kwenda kwa *Kijana* aliempa mimba huku akiwa na hasira zaajabu.Walipo fika ilikuwa hivi:
*MZEE*: Wewe ndio ulimpa binti yangu mimba?

*KIJANA*: Mzee nikweli mimi nilimpa mimba binti yako,ila akizaa dumee nitakupa daladala10,Sheli3 na Million50 za mtaji. Akizaa jike, nitakupa supermarket 3, mashamba6 na Million40.

*BINTI Akadakia*; Je mimba ikitoka?

*MZEE*: Nyamanza mshenzi ww,si atakupa nyingine.

mzee hataki ujinga kbsaa
Mkuu usicheze na hela hahahahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom