Makapuku Forum

Makapuku Forum

jamani ehhh
Maombi yenu ni muhimu sana kwa Bitoz maana anaumwa (..kuharisha)
Yani anaharisha vibaya sanaaa, mpaka tumemvalisha pampaz
Hivyo wadau tunaombeni mchango wenu wa hali na mali ili Bitoz kesho akatibiwe India


Nb:utaratibu wa kuchangia njo pm nikupe maelekezo jinsi ya kutoa mchango wako
 
jamani ehhh
Maombi yenu ni muhimu sana kwa Bitoz maana anaumwa (..kuharisha)
Yani anaharisha vibaya sanaaa, mpaka tumemfalisha pampaz
Hivyo wadau tunaombeni mchango wenu wa hali na mali ili Bitoz kesho akatibiwe India


Nb:utaratibu wa kuchangia njo pm nikupe maelekezo jinsi ya kutoa mchango wako
Acha masiala hayo
 
jamani ehhh
Maombi yenu ni muhimu sana kwa Bitoz maana anaumwa (..kuharisha)
Yani anaharisha vibaya sanaaa, mpaka tumemvalisha pampaz
Hivyo wadau tunaombeni mchango wenu wa hali na mali ili Bitoz kesho akatibiwe India


Nb:utaratibu wa kuchangia njo pm nikupe maelekezo jinsi ya kutoa mchango wako
Akatibiwe India kesho??
 
Huyo Kikofia msimsikilize ni tapeli mkubwa hapa mjini msikilize

....mi naumwa pia kuna kitu kimeniweka bize si mnajua siyo kila siku lazima niwepo
Hii ni thread ya Makapuku wote
Nisipokuwepo mimi au Jimena nyie lisongesheni tu sio kupiga mi kelele
.............
 
IMG_20160923_180721.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom