Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakubwa marahaba..
Wadogo zangu shkamooni..
1474692656657.jpg
 
Huyu hasikiki kabisa, japo ameshapewa taarifa
Tatizo kuna pipo hazijiamini
Wanafikiri wasiposhobokashoboka kwa hivyo vingongo hawawezi kujulikana
Mbona sisi kwa sisi tupo wengi humu na tuna swaga za kufa mtu ina maana kakosa mtu wa kupoga nae swaga ?
Mtu unachagua kuwa kapuku au kingongo (KF au VF)
Siyo hauna msimamo tena vingongo wanatudhihaki tu kijanja....wasipoangalia hadi akina Ngedere watakuja kutambia hapahapa

...........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom