Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Nimemfunga hapo kwenye banda lenu la nje...utamuona ukitoka.![]()
![]()
mbona simuonii
Nimemfunga hapo kwenye banda lenu la nje...utamuona ukitoka.![]()
![]()
mbona simuonii
Hahaha, mi sijaoa banaTetra popote ulipo...wifi yetu bibi harusi hajambo?
Huyo moooNani sasa
Mmmh.....Mbona hayupoooNimemfunga hapo kwenye banda lenu la nje...utamuona ukitoka.

Umeoa wewe acha kumkana mkeooHahaha, mi sijaoa bana


zima simu uwashe kesho mana kinachofuta ni mzingaa


Tetramelyz hunisikii au?Nakuooea huruma sana doggo. Litakutesa
Basi kapotea kimiujiza au kaibiwa. Nilimuweka hapo muda si mrefuMmmh.....Mbona hayupooo![]()
![]()
![]()
Nkajua upo animuni bai naoHahaha, mi sijaoa bana


Mi naipenda mbona,? Alf acha roho mbaya kuwazibia wenzioOgopa sana kama unachart na Dem halafu akakwambia:- "Nikwambie kitu!??"zima simu uwashe kesho mana kinachofuta ni mzingaa
Wanaume kwanini hampendi mizinga?
Duuuh basi huyo ni wamiujizaaBasi kapotea kimiujiza au kaibiwa. Nilimuweka hapo muda si mrefu
Ngoja nimuache tu. TusijempotezaMtumie tu
Mi ni FRATELI weweUmeoa wewe acha kumkana mkeoo
Yupo na sketi yakeSeriously nimemmiss Briz shem wangu jamani...anaefahamu alipo mumlete![]()
Mkulu kabana, nasubiri apunguze makali.Nkajua upo animuni bai nao
Nakusikiaaa. Nakuona pia katika MUONEKANO MPYA,Tetramelyz hunisikii au?
AmekusikiaTetra popote ulipo...wifi yetu bibi harusi hajambo?