Kitombise
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 8,652
- 25,849
Sasa hawa ukiwaambia watoke sare watafungwa, ni heri tuwaambie wawafunge maana hapo ndo watatoa sare sasaWatoke sare tu
Ndo vizuri
.............
Sasa hawa ukiwaambia watoke sare watafungwa, ni heri tuwaambie wawafunge maana hapo ndo watatoa sare sasaWatoke sare tu
Ndo vizuri
.............
Sisi tupo vizuri sanaNguvu zote za nini wkt daraja la miti au na nyie wachovu tu
![]()
![]()
![]()
..............
Ni kweli usemacho brizWakati mwingine ni jambo zuri kukaa kimya mkuu afu watu kama hao hawakosekani popote
Nawe piaHapa nasinzia tumuwe na usiku mwema wadau
Jonax buana, Sasa hivi niBasi hapo shululu anafurahia balaa akipata temporary kampani ya kipindi hiki.
Shida yetu utuvunjie lile daraja tu, japo na nyie ni wachovu
Hilo jua nalielewa sana huwa sio lile la kutoa jasho kama dar linachoma unaweza kuhisi labda limeshuka usawa wa mawingu

Karibu uchukue na kadi kabisaKesho msiniangushe, ole wenu mpigwe...
Maana nitawatania huu msimu mzima.
Aisee, msiniangushe nimekuwa shabiki wenu wa muda
Kesho jitahidi mtoe sare bhassJonax buana, Sasa hivi niView attachment 405826
Jonax buana, Sasa hivi niView attachment 405826
nmekuwa mshika bunduni kwa mudAUngabure sasa hivi anaisoma tunmekuwa mshika bunduni kwa mudA
Karibu uchukue na kadi kabisa
mm nashabikia team tu ambazo zimewahi kubeba UEFA.Wakati huyo haijabadilishwamm nashabikia team tu ambazo zimewahi kubeba UEFA.
vipi nyie mmeshawahi kubeba UEFA ili nihamie tram yenu?
Ungabure sasa hivi anaisoma tu
anaisoma nn?Siwaoni mbonaKwani huoni kama wako macho
Kwema kabisa mpendwaMambo safi tu kwema?
Hahahahaha amuulize malaika hahahahaMuulize MKWEPA KODI
Hahahahaha kweli mkuuHumu ni chimbo...Jina lenyewe tu Makapuku linaogopeka
Kuna Series nilikuwa naivutia pumzi niiangalie...jana nimelala saa tisa na dakika 53.Unawahi wap shem lake? Wikend yote hii
MhhhhValentina miss you mama
Habari ya kitambo