Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Yeah ile unapigiwa nguo pass...si unajua..unawekewa henkachif kwenye mfuko wa shati, na vitu kama hvyo. Enzi za utotoUnaandaliwa?
Yeah ile unapigiwa nguo pass...si unajua..unawekewa henkachif kwenye mfuko wa shati, na vitu kama hvyo. Enzi za utotoUnaandaliwa?
Mtafutieni mchumba jamani hatokuja tenaHuyu hasikiki kabisa, japo ameshapewa taarifa
Haaaahaaaa na kupelekwa kwenye school busYeah ile unapigiwa nguo pass...si unajua..unawekewa henkachif kwenye mfuko wa shati, na vitu kama hvyo. Enzi za utoto
Nadhani watakuwa hawafahamu kinachoendelea kwa sababu wao ni makapuku maground ila sisi kapuku wakongwe tunatakiwa tuwaelmishe zaidi.Tatizo kuna pipo hazijiamini
Wanafikiri wasiposhobokashoboka kwa hivyo vingongo hawawezi kujulikana
Mbona sisi kwa sisi tupo wengi humu na tuna swaga za kufa mtu ina maana kakosa mtu wa kupoga nae swaga ?
Mtu unachagua kuwa kapuku au kingongo (KF au VF)
Siyo hauna msimamo tena wanatudhihaki tu kojanja....wasipoangalia hadi akina Ngedere watakuja kutambia hapahapa
![]()
![]()
![]()
![]()
...........
Ndio!! hahahaaHaaaahaaaa na kupelekwa kwenye school bus
Kikofia siku zingine unaongea pointNadhani watakuwa hawafahamu kinachoendelea kwa sababu wao ni makapuku maground ila sisi kapuku wakongwe tunatakiwa tuwaelmishe zaidi.
Maana wao wakija hapa ni kwa ajili ya sarcasm na siyo kingine








Jonax anamfaaMtafutieni mchumba jamani hatokuja tena
Morning mukongoGud moningi familia
Pale unapokuwa umefulia sana...Mgeni anakutembelea Maskani kwako....Unaamua Kuchukua Ile Sh 600 iliyobaki na kwenda Dukani Kumnunulia Soda Unaondoka na Chupa Mbili Unanunua Fanta Moja kwaajil ya Mgeni na Ile Chupa ya Sprite Unaijaza Maji ili Ukirudi Uweze kumpa Kampani Mgeni......Unafika Seblen Unampa Ile soda ya Fanta Mgeni anakuambia Fanta huwa situmii Nipe hiyo sprite .....Bwana....Bwana. ...Bwana....Weee
Apo ndo utagundundua morinyo anajiskiaje
Kumnunua POGBA

Goodmorning ShululuMorning mukongo
Habari za mwikaGoodmorning Shululu
Moningi werrasonGud moningi familia
Jamani mkongo nikumiss sana kiukweliGoodmorning Shululu
Ni kweli kabisa..Kikofia siku zingine unaongea point
Once a kapuku always a kapuku
Hapa ndo srhemu yetu pekee ya kujidai ....wakikaribisha vingongo tutajidai sehemu gani sasa? Au wanapenda waanze kuambiwa "mlienda shule kusomea ujinga" na vingongo hapahapa KF
![]()
![]()
![]()
![]()
............

BonjourGud moningi familia
