shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Pacha wako anasema uchocheziJana ilikuwa balaa nyumba ilikuwa tupu nilibaki na Shululu tu.
Pacha wako anasema uchocheziJana ilikuwa balaa nyumba ilikuwa tupu nilibaki na Shululu tu.
Kweli kabisa mkuu.Ikitokea New comer ameanzisha uzi utasikia....peleka fb,...chuo kimefunguliwa?....jf imevamiwa na Division 5....Vi.laza wa Gram wameibukia JF.Lakini kama ni mkongwe ameanzisha uzi hata kama ni pumba, wazee wenzake watajitutumua kwenye comments ili uzi uonekane una maana.
Hayo ni tisa, kumi KE anzishe uzi.Yaani ata kama ni tusi, mizee mizima itajipendekeza na michango uchwara...utaona wakipost....hiyo avatar ni ya kwako?....njoo PM tumalizane....Upo maeneo gani?..n.k.
Lengo langu siyo kuleta matabaka kati ya ME na KE, ama kati ya wakongwe na wageni, la hasha!...Kama ikitokea mtu amepost kitu na anahitaji ushauri/maoni asaidiwe bila kujali kuwa ni KE ua ME, mkongwe ama mgeni....tushirikiane kwa pamoja ili jamii yenye uelewa ianzie hapa JF.
Jambo lingine dharau sii kitu kizuri, kama upo jf toka kuanzishwa kwake haimanishi kuwa wewe ni wa maana kuliko ambaye profile yake inasomeka...joined yesterday...Kila mtu kwa nafasi yake anaweza kutoa au kupokea mawazo ya kujenga kutoka kwa watu mbali mbali.
MWISHO: WADUMU MAKAPUKU....FIKRA ZA MAKAPUKU ZIISHI DAIMA....MILELE LIDUMU JINA LA MAKAPUKU.





Hapana....nimeona harakat za kapuku mwenzangu pongezi kwakoUmeanza nongwa..

Mnalisongesha tu siku hazilinganiJana ilikuwa balaa nyumba ilikuwa tupu nilibaki na Shululu tu.
GeniusNUKUU NO 3#
Huhitaji kuwa mkomunist ili kujua kwamba China inafanya mambo mengi ambayo Dunia inapaswa kujifunza
Hatuwezi kuacha kujifunza eti kwa sababu wao Wana mfumo tofauti wa kisiasa nasi
Maneno haya ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,
Yamenukuliwa kutoka katika kitabu cha "watu 100 muhimu Duniani" (The most important people in the world today)
Kwa mwaka 1970
Nawe piaSina la ziada kwa udhamini mnono kabisa wa sweetiepie kuwa mpweke Jana, nawatakieni jioni njema
Ipi kubwa na ndogo ni ipiMnalisongesha tu siku hazilingani
Aanhaa......nimeona..... yuko vizuri katika kutaka kujua mamboTulishahitimisha kijana
Anajua kuelezea kwa ufasahaKwa nini
Umeme tatizoJana ilikuwa balaa nyumba ilikuwa tupu nilibaki na Shululu tu.

Nadhani yuko na mama watoto wakeBwana harusi bado hajaonekana?
Nimegundua hata mimi naweza kuanzisha mada Jukwaa la Intelligent kwa kukopi tu kitabuKweli kabisa mkuu.Ikitokea New comer ameanzisha uzi utasikia....peleka fb,...chuo kimefunguliwa?....jf imevamiwa na Division 5....Vi.laza wa Gram wameibukia JF.Lakini kama ni mkongwe ameanzisha uzi hata kama ni pumba, wazee wenzake watajitutumua kwenye comments ili uzi uonekane una maana.
Hayo ni tisa, kumi KE anzishe uzi.Yaani ata kama ni tusi, mizee mizima itajipendekeza na michango uchwara...utaona wakipost....hiyo avatar ni ya kwako?....njoo PM tumalizane....Upo maeneo gani?..n.k.
Lengo langu siyo kuleta matabaka kati ya ME na KE, ama kati ya wakongwe na wageni, la hasha!...Kama ikitokea mtu amepost kitu na anahitaji ushauri/maoni asaidiwe bila kujali kuwa ni KE ua ME, mkongwe ama mgeni....tushirikiane kwa pamoja ili jamii yenye uelewa ianzie hapa JF.
Jambo lingine dharau sii kitu kizuri, kama upo jf toka kuanzishwa kwake haimanishi kuwa wewe ni wa maana kuliko ambaye profile yake inasomeka...joined yesterday...Kila mtu kwa nafasi yake anaweza kutoa au kupokea mawazo ya kujenga kutoka kwa watu mbali mbali.
MWISHO: WADUMU MAKAPUKU....FIKRA ZA MAKAPUKU ZIISHI DAIMA....MILELE LIDUMU JINA LA MAKAPUKU.
Kweli kabisaAanhaa......nimeona..... yuko vizuri katika kutaka kujua mambo
Nilijisikia kukugeuza farasi ili nikupandeHiv kipindi kile, ulivyovalishwa na kupakwa shedo ulijiskiaje!!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ana undugu na kaveli muuza ndiziHahahahahaa huyu jamaa vipi huyu?! kweli Ndezi!!!!
Bora umebadili Avatar umemtoa yule kidukuNadhani yuko na mama watoto wake
TuheshimianeUlifaa kuwa mwalimu wa kiswahili![]()
![]()