Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nimegundua hata mimi naweza kuanzisha mada Jukwaa la Intelligent kwa kukopi tu kitabu
Tatizo siyo mkongwe hivyo nitashambuliwa sana lakini kuna Wakongwe vichwa box kibao kule wanaandika uongo/upupu lakini KAMWE HAWAPINGWI

Hii inasababisha vichwa vipya vilipotezee Jukwaa
.............
Mkuu unajua kugive up jambo flani hapa jf haina maana kwamba umeshidwa ama umeshinda,...lakini utakuwa umeonesha dalili za udhaifu....kukubali kunyamazishwa na tambwe za watu wachache ni jambo la hatari sana! hasa kama hiyo spirit ya kugwaya hao ma bullers itaendelea hadi kwenye maisha ya kawaida.

Maadam unafuata sheria zote za jf, nadhani upo huru kutoa mawazo yako bila kujali aina ya jukwaa ulilozoea....kuna watu watakuja kukukashifu kuona kama utatokwa povu, watu wa hivyo ni kuwapotezea tu kinyume na hapo ni ban....hamna member mwenye haki ya kuamua ni mada ya nani ina maana zaidi ya nyingine, tofauti na hapo ni cyber bulling.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom