Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Aaaah!!!

Aaaah!!!

Ulifaa kuwa mwalimu wa kiswahiliKwani hiyo Premium Member Forum ipo wapi mbona hatuijui
Hii ni thread km zingine siyo forum na ni ubunifu wa Makapuku wenyewe
Hatuwezi kuiga chochote wala thread yoyote sababu sisi tuna ubora na wabunifu
Wengine ndo watuige
............................

Mhhh ukute ni jini ndo anawala wanamsingizia Yule Cat


WaoooNukuu ya leo itawajia hivi punde
Wanazi still wanarun dunia
Viva makapukuKweli kabisa mkuu.Ikitokea New comer ameanzisha uzi utasikia....peleka fb,...chuo kimefunguliwa?....jf imevamiwa na Division 5....Vi.laza wa Gram wameibukia JF.Lakini kama ni mkongwe ameanzisha uzi hata kama ni pumba, wazee wenzake watajitutumua kwenye comments ili uzi uonekane una maana.
Hayo ni tisa, kumi KE anzishe uzi.Yaani ata kama ni tusi, mizee mizima itajipendekeza na michango uchwara...utaona wakipost....hiyo avatar ni ya kwako?....njoo PM tumalizane....Upo maeneo gani?..n.k.
Lengo langu siyo kuleta matabaka kati ya ME na KE, ama kati ya wakongwe na wageni, la hasha!...Kama ikitokea mtu amepost kitu na anahitaji ushauri/maoni asaidiwe bila kujali kuwa ni KE ua ME, mkongwe ama mgeni....tushirikiane kwa pamoja ili jamii yenye uelewa ianzie hapa JF.
Jambo lingine dharau sii kitu kizuri, kama upo jf toka kuanzishwa kwake haimanishi kuwa wewe ni wa maana kuliko ambaye profile yake inasomeka...joined yesterday...Kila mtu kwa nafasi yake anaweza kutoa au kupokea mawazo ya kujenga kutoka kwa watu mbali mbali.
MWISHO: WADUMU MAKAPUKU....FIKRA ZA MAKAPUKU ZIISHI DAIMA....MILELE LIDUMU JINA LA MAKAPUKU.
Utapata tabu sana kumuelekeza huyu mutuKabla ya kukujibu, nipe maana chit chat
Kuna hadi mitaa inaitwa Gandhi...duuuh wahindi hawatomsahau huyu.NUKUU NO 1#
Kuna watu hapa duniani ambao wanaishi katika njaa kali kiasi kwamba Mungu hawezi kuwatokea katika njia nyingine isipokuwa kama chakula
Maneno haya yalitamkwa na Mohandas Karamchand Gandhi (Mahatma Gandhi)
Aliyeishi Kati ya mwaka 1869 hadi mwaka 1948.
Gandhi alikuwa kiongozi wa vuguvugu la kudai uhuru wa India kutoka kwa wakoloni wa Uingereza
Alikula chumvi ya kutosha. RIPNUKUU NO 2#
Katika maisha nimejifunza vitu vingi.
Nimejifunza kwamba watu watasahau mambo uliyowahi kuyasema, watasahau ulichowafanyia lakini hawatasahau ulichowafanyia namna ulivyowafanya wajisikie
Maneno haya yalisemwa na mtunzi, mshairi, mcheza muziki na mwanaharakati wa Marekani, Maya Angelou
Aliyeishi Kati ya mwaka 1928 hadi 2014
Bitoz inabidi awe mwalimu wa kiswahili![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Bitoz yuko online kukujibu yote
Kuwa mpole atakujibu
Sacajo Asante.Utapata tabu sana kumuelekeza huyu mutu
DuuuuhMeanwhile harusi ya mtoto wa Ustaadh ambaye dashboard inasoma zero zero! Kwa maana hakuwahi kuonja!
![]()
Ndio hivyoKuna hadi mitaa inaitwa Gandhi...duuuh wahindi hawatomsahau huyu.
Tulishahitimisha kijanaUtapata tabu sana kumuelekeza huyu mutu
Kwa niniBitoz inabidi awe mwalimu wa kiswahili
Kama anapaa

Makapuku tutazidi kuwa juuWakongwe wanaongoza kwa kupost upupu tu sema wanapeana sapoti ya kufa mtu
Mfano watu wameidiss sana KF lakini cha ajabu ikaanzishwa Wakongwe Forum hakuna aliyethubutu kuwadiss bahati nzuri lithread lao limekufa kifo cha mende sababu hawana ubora wala ubunifu
![]()
![]()
![]()
![]()
................

Jana ilikuwa balaa nyumba ilikuwa tupu nilibaki na Shululu tu.Sina la ziada kwa udhamini mnono kabisa wa sweetiepie kuwa mpweke Jana, nawatakieni jioni njema
Mbona unaguna tena!Duuuuh