Makapuku Forum

Makapuku Forum

Maana ya Chit-chat ni kuongea/kuandika mambo yasiyo na maana/yasiyo muhimu....ila hii thread ya Makapuku inatatiza kidogo....maana inaonekana kama sub-forum ya Chit-chat.
Kutatiza inakutatiza wewe tu
Ingekuwa inatatiza (utata) Moderator wangeifuta

Kuongea au thread kuwepo Chitchat haimaainishi kitu hakuna la maana

Km chitchat ni jukwaa la vitu vya ovyo basi sisi ndo linatufaa
Tushasema ni thread siyo sub forum na km vipi mwambie mod afute neno "Forum" isomeke "thread" ili mridhike(Mod wenyewe wanatukubali)
..................
 
Yeah! ni kweli, kila sehemu kuna matabaka....na nimewahi kusikia kuna wakongwe na maunderground wa JF....ni kigezo kipi kilitumika kuweka hizo tabaka? naamanisha wakongwe ni wakina nani? ni waliojiunga kwanzia 2008, 2009, 2011/12 back to 2006? au
Hakuna kigezo isipokuwa wahanga wakubwa ni wale waliojiunga from 2014 Hao ndo wanadharaurika sana
Huku wakongwe wengi vichwa mabox wanapenda kumjudge kwa kuangalia profile lake kajiunga lini
Halafu wamekariri kila member mpya ni "dogo" na wana tabia za kibaguzi kwa kupenda "kupaishana" kwenye thread zao wakati hawana ubora(wapo baadhi nawakubali) .....wakumbuke wakati wao wanajiunga JF hapakuwa na smartphone ndio maana walitamba bila ushindani
.........
 
Kutatiza inakutatiza wewe tu
Ingekuwa inatatiza (utata) Moderator wangeifuta

Kuongea au thread kuwepo Chitchat haimaainishi kitu hakuna la maana

Km chitchat ni jukwaa la vitu vya ovyo basi sisi ndo linatufaa
Tushasema ni thread siyo sub forum na km vipi mwambie mod afute neno "Forum" isomeke "thread" ili mridhike(Mod wenyewe wanatukubali)
..................
Kitu kunitatiza mimi haimaanishi kwamba ni kibaya, japo jambo laweza kuwa zuri bado linaweza kutatiza watu lisipoelezewa vizuri.

Vile vile kuna nyuzi zipo Chit-chat na zina maana...zenye umuhimu kinyume na jina la forum linavyoeleza.

Ukakasi wangu upo kwenye jina la uzi ''MAKAPUKU'' kwa nini uzi uitwe makapuku?

Mwanzoni niliambiwa kwamba lengo la MAKAPUKU ni kuunganisha watu wanaokuwa bulled na cyber buller, hao CYBER BULLERS ni kina nani?
 
Hakuna kigezo isipokuwa wahanga wakubwa ni wale waliojiunga from 2014 Hao ndo wanadharaurika sana
Huku wakongwe wengi vichwa mabox wanapenda kumjudge kwa kuangalia profile lake kajiunga lini
Halafu wamekariri kila member mpya ni "dogo" na wana tabia za kibaguzi kwa kupenda "kupaishana" kwenye thread zao wakati hawana ubora(wapo baadhi nawakubali) .....wakumbuke wakati wao wanajiunga JF hapakuwa na smartphone ndio maana walitamba bila ushindani
.........
Hapa ndio nilitaka kupasikia, binafsi kwenye kuchangia katika nyuzi mbali mbali nimewahi kuitwa ki.laza na hata leo nimeitwa DIVISION 5.Sijajua huyo mtu alitumia kigezo kipi kuniita hivyo maana michango yangu ilikuwa mizuri tu.

Pia kuna kitu nimegundua hapa JF, uzi ukianzishwa na wakongwe unakuwa na wachangiaji wengi sana, kama ni wa new comer basi awe KE ndipo atakapo pata michango ya forum.
 
Kitu kunitatiza mimi haimaanishi kwamba ni kibaya, japo jambo laweza kuwa zuri bado linaweza kutatiza watu lisipoelezewa vizuri.

Vile vile kuna nyuzi zipo Chit-chat na zina maana...zenye umuhimu kinyume na jina la forum linavyoeleza.

Ukakasi wangu upo kwenye jina la uzi ''MAKAPUKU'' kwa nini uzi uitwe makapuku?

Mwanzoni niliambiwa kwamba lengo la MAKAPUKU ni kuunganisha watu wanaokuwa bulled na cyber buller, hao CYBER BULLERS ni kina nani?
Neno MAKAPUKU limetokana na mkongwe fulani hivi wakati nilipoanzisha thread fulani hapa chitchat iliyohusu swaga sasa akaja kwa matusi na kutukana "nyie maskini hamna kazi ni vikapuku tu humu" akifikiri ingetuuma kumbe ndo anajifanya tumdharau......
Kuanzia hapo nikalizoea na kulipenda hilo neno nikaamua kuligeuza kuwa neno lenye THAMANI

Kwahiyo huyo mkongwe ni mfano wa cyberbuller
......................
 
Hapa ndio nilitaka kupasikia, binafsi kwenye kuchangia katika nyuzi mbali mbali nimewahi kuitwa ki.laza na hata leo nimeitwa DIVISION 5.Sijajua huyo mtu alitumia kigezo kipi kuniita hivyo maana michango yangu ilikuwa mizuri tu.

Pia kuna kitu nimegundua hapa JF, uzi ukianzishwa na wakongwe unakuwa na wachangiaji wengi sana, kama ni wa new comer basi awe KE ndipo atakapo pata michango ya forum.
Wakongwe wanaongoza kwa kupost upupu tu sema wanapeana sapoti ya kufa mtu
Mfano watu wameidiss sana KF lakini cha ajabu ikaanzishwa Wakongwe Forum hakuna aliyethubutu kuwadiss bahati nzuri lithread lao limekufa kifo cha mende sababu hawana ubora wala ubunifu

................
 
Neno MAKAPUKU limetokana na mkongwe fulani hivi wakati nilipoanzisha thread fulani hapa chitchat iliyohusu swaga sasa akaja kwa matusi na kutukana "nyie maskini hamna kazi ni vikapuku tu humu" akifikiri ingetuuma kumbe ndo anajifanya tumdharau......
Kuanzia hapo nikalizoea na kulipenda hilo neno nikaamua kuligeuza kuwa neno lenye THAMANI

Kwahiyo huyo mkongwe ni mfano wa cyberbuller
......................
Kweli jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe la msingi wa nyumba....Sawa mkuu nimekuelewa na shukrani sana kwa kunielewesha....@QUIGLEY shukrani mkuu kwa kujitolea kunielewesha,...nimewahi kuwa bulled sana hata leo imetokea kuitwa DIVISION 5....nami naunga mkono MAKAPUKU.
 
Kweli jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe la msingi wa nyumba....Sawa mkuu nimekuelewa na shukrani sana kwa kunielewesha....@QUIGLEY shukrani mkuu kwa kujitolea kunielewesha,...nimewahi kuwa bulled sana hata leo imetokea kuitwa DIVISION 5....nami naunga mkono MAKAPUKU.
Usijali mwana
Hapa tupo peace na kila mtu except wale wazushi
Once a Kapuku always a kapuku
One Love
.................
 
Hapa ndio nilitaka kupasikia, binafsi kwenye kuchangia katika nyuzi mbali mbali nimewahi kuitwa ki.laza na hata leo nimeitwa DIVISION 5.Sijajua huyo mtu alitumia kigezo kipi kuniita hivyo maana michango yangu ilikuwa mizuri tu.

Pia kuna kitu nimegundua hapa JF, uzi ukianzishwa na wakongwe unakuwa na wachangiaji wengi sana, kama ni wa new comer basi awe KE ndipo atakapo pata michango ya forum.
Ndio ujue akili ya midume ya jf, yanaponda wanaume na kutukuza wauza k
 
Kweli jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe la msingi wa nyumba....Sawa mkuu nimekuelewa na shukrani sana kwa kunielewesha....@QUIGLEY shukrani mkuu kwa kujitolea kunielewesha,...nimewahi kuwa bulled sana hata leo imetokea kuitwa DIVISION 5....nami naunga mkono MAKAPUKU.
Umenifurahisha kwa kutumia neno (why) kila wakati. Hili neno huwa lina matokeo chanya kwani huleta ufahamu sahihi juu ya jambo kusudiwa, nimependa udadisi wako
 
IMG_20160919_171242.jpeg

Ndezi wa FB
..................
 
Hapa ndio nilitaka kupasikia, binafsi kwenye kuchangia katika nyuzi mbali mbali nimewahi kuitwa ki.laza na hata leo nimeitwa DIVISION 5.Sijajua huyo mtu alitumia kigezo kipi kuniita hivyo maana michango yangu ilikuwa mizuri tu.

Pia kuna kitu nimegundua hapa JF, uzi ukianzishwa na wakongwe unakuwa na wachangiaji wengi sana, kama ni wa new comer basi awe KE ndipo atakapo pata michango ya forum.
Sasa huu ulioutaja hapa juu ndo Matabaka yenyewe hayo+madharau
KARIBU MKUU
 
Hapa ndio nilitaka kupasikia, binafsi kwenye kuchangia katika nyuzi mbali mbali nimewahi kuitwa ki.laza na hata leo nimeitwa DIVISION 5.Sijajua huyo mtu alitumia kigezo kipi kuniita hivyo maana michango yangu ilikuwa mizuri tu.

Pia kuna kitu nimegundua hapa JF, uzi ukianzishwa na wakongwe unakuwa na wachangiaji wengi sana, kama ni wa new comer basi awe KE ndipo atakapo pata michango ya forum.
Sasa huu ulioutaja hapa juu ndo Matabaka yenyewe hayo+madharau
KARIBU MKUU
Kitu kunitatiza mimi haimaanishi kwamba ni kibaya, japo jambo laweza kuwa zuri bado linaweza kutatiza watu lisipoelezewa vizuri.

Vile vile kuna nyuzi zipo Chit-chat na zina maana...zenye umuhimu kinyume na jina la forum linavyoeleza.

Ukakasi wangu upo kwenye jina la uzi ''MAKAPUKU'' kwa nini uzi uitwe makapuku?

Mwanzoni niliambiwa kwamba lengo la MAKAPUKU ni kuunganisha watu wanaokuwa bulled na cyber buller, hao CYBER BULLERS ni kina nani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom