Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Kwani hiyo Premium Member Forum ipo wapi mbona hatuijuiSWALI:
Hivi Makapuku forum ni kinyume cha Premium member forum?
Ikwapi shemelaNimeona link Bitoz aliweka ila kiukweli haibambi hata kidogo

Sawa Mkuu nimekuwa nikiuliza lengo hasa la makapuku ni nini? najibiwa nenda pg3,...ambayo inasema ni kushirikiana na kuleta umoja hapa JF na kuepuka bullers.Kwani humu kuna wanao wakandamiza wengine? ukiambiwa ueleze lengo la hii forum kwa sentesi moja tu, ungejibu vipi?Kwani hiyo Premium Member Forum ipo wapi mbona hatuijui
Hii ni thread km zingine siyo forum na ni ubunifu wa Makapuku wenyewe hatuwezi kuiga chochote wala thread yoyote sababu sisi tuna ubora na wabunifu
Wengine ndo watuige
............................
Usichanganywe na f ya kf, huwezi kuwa na forum ndani ya forum, hii thread tu kama zingine zilizopo chit chat, we sema tu imejijenga na members humu wanafahamiana na wameweza kushare mambo mbalimbali.Sawa Mkuu nimekuwa nikiuliza lengo hasa la makapuku ni nini? najibiwa nenda pg3,...ambayo inasema ni kushirikiana na kuleta umoja hapa JF na kuepuka bullers.Kwani humu kuna wanao wakandamiza wengine? ukiambiwa ueleze lengo la hii forum kwa sentesi moja tu, ungejibu vipi?
Sawa mkuu nimekuelewa...ebu fupisha lengo la hii thread kwa sentesi moja.Usichanganywe na f ya kf, huwezi kuwa na forum ndani ya forum, hii thread tu kama zingine zilizopo chit chat, we sema tu imejijenga na members humu wanafahamiana na wameweza kushare mambo mbalimbali.
Kabla ya kukujibu, nipe maana chit chatSawa mkuu nimekuelewa...ebu fupisha lengo la hii thread kwa sentesi moja.
Lengo kuu ni kukutanisha vijana wa Town kupiga soga(kijiwe)Sawa Mkuu nimekuwa nikiuliza lengo hasa la makapuku ni nini? najibiwa nenda pg3,...ambayo inasema ni kushirikiana na kuleta umoja hapa JF na kuepuka bullers.Kwani humu kuna wanao wakandamiza wengine? ukiambiwa ueleze lengo la hii forum kwa sentesi moja tu, ungejibu vipi?
Kausha kidogo niende naye sawaKabla ya kukujibu, nipe maana chit chat
Kausha kidogo niende naye sawa
..........

Maana ya Chit-chat ni kuongea/kuandika mambo yasiyo na maana/yasiyo muhimu....ila hii thread ya Makapuku inatatiza kidogo....maana inaonekana kama sub-forum ya Chit-chat.Kabla ya kukujibu, nipe maana chit chat
Umemaliza?Sawa mkuu nimekuelewa...ebu fupisha lengo la hii thread kwa sentesi moja.
Maana ya Chit-chat ni kuongea/kuandika mambo yasiyo na maana/yasiyo muhimu....ila hii thread ya Makapuku inatatiza kidogo....maana inaonekana kama sub-forum ya Chit-chat.
Yeah! ni kweli, kila sehemu kuna matabaka....na nimewahi kusikia kuna wakongwe na maunderground wa JF....ni kigezo kipi kilitumika kuweka hizo tabaka? naamanisha wakongwe ni wakina nani? ni waliojiunga kwanzia 2008, 2009, 2011/12 back to 2006? auLengo kuu ni kukutanisha vijana wa Town kupiga soga(kijiwe)
Hayo mengine mbwembwe yasikusumbue nikipata time nitayaondoa
Kila sehemu yoyote duniani kuna matabaka kwahiyo siyo kitu cha kujadili sana sababu kipo wazi na kinajulikana
........................
Sawa Mkuu ingawa sina jazba...nipo mpole sana.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Bitoz yuko online kukujibu yote
Kuwa mpole atakujibu
Hata nami niko poa, but bitoz anaweza kukupa majibu mazuri zaid yanguSawa Mkuu ingawa sina jazba...nipo mpole sana.