sacajo
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 1,385
- 4,493
Mnyama bitoz
Mnyama bitoz
Mjengoni ni huko ulikooMkuu huku poa tu, mjengoni ni bungeni au mjengoni nyumbani kwangu!
Poa sanaMjengoni ni huko ulikoo
ajeBro musso!
Poa poa

MPARE V/S MCHAGA.
Mpare alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=
Na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki
yako nakukuongeza laki nyingine.
MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela aiwezi mpita akaenda kutibiwa.
MPARE: "unaumwa nini?"
MCHAGA: "Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa.."
MPARE: "sawa, toa laki kabisa.."
Mchaga akatoa.
MPARE akamuagiza msaidizi wake; "Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.."
MCHAGA akanywa akatema faster; "Puh puu puu, Aisee huu si mkojo huu..?"
MPARE: "Umepona karibu tena.."
Mchaga aka-mind sana Kesho yake akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: aisee nina tatizo la kumbukumbu nasahau
sanaaaaa.."
MPARE akamwambia "hakuna tabu, toa laki tukupe tiba..'
MCHAGA akatoa pesa akijua leo lazima afanikiwe..'
MPARE: "Oya! naomba kikopo no.27.."
MCHAGA: "ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA CHA MKOJO HICHO AISEE..?"
MPARE: "UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kilerzer huyoo
MPARE V/S MCHAGA.
Mpare alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=
Na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki
yako nakukuongeza laki nyingine.
MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela aiwezi mpita akaenda kutibiwa.
MPARE: "unaumwa nini?"
MCHAGA: "Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa.."
MPARE: "sawa, toa laki kabisa.."
Mchaga akatoa.
MPARE akamuagiza msaidizi wake; "Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.."
MCHAGA akanywa akatema faster; "Puh puu puu, Aisee huu si mkojo huu..?"
MPARE: "Umepona karibu tena.."
Mchaga aka-mind sana Kesho yake akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: aisee nina tatizo la kumbukumbu nasahau
sanaaaaa.."
MPARE akamwambia "hakuna tabu, toa laki tukupe tiba..'
MCHAGA akatoa pesa akijua leo lazima afanikiwe..'
MPARE: "Oya! naomba kikopo no.27.."
MCHAGA: "ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA CHA MKOJO HICHO AISEE..?"
MPARE: "UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Noted.Japo shabiki mstaafu, naitakia mema chelsea
Walikuwa na Kasi sanaWalikuja kwa kasi
Papua?1975 - Nchi ya Papua New Guinea yajipatia Uhuru wake toka kwa Australia.
Kwa kina Luis Nani1975 - Nchi za Cape Verde, Msumbiji na Sao Tome Principe zajiunga na Umoja wa Mataifa.
CIA hao1996 - McGeorge Bundy anafariki Dunia.
Alikuwa ni Mtaalamu wa masuala ya Ujasusi na Diplomasia nchini Marekani. Kabla ya vita kuu ya pili ya Dunia alifanya kazi za kijasusi hasa zile za Undercover. Baada ya hapo akawa mtaalam wa usalama na Diplomasia.
Ameshika nyadhifa za kuwa Mshauri Mkuu wa Masuala ya Usalama nchini Marekani katika Utawala wa Marais J.F.Kennedy na Lyndon B. Johnson.
Anachukuliwa kama mmoja wa majasusi bora wa wakati wote kuwahi kutokea katika Nchi ya Marekani.
Fungua kesi tuHuyu macaveli10 anajaribu kuleta uchochezi![]()
![]()
Hanga jina kubwa kwenye tasinia ya habariLeo katika Historia:
Kwa udhamini mnono wa Abdallah Kassim Hanga ( R.I.P ) sina la ziada tukutane tena kesho hapahapa.
Ijumaa Kareem.
Crazy Friday...TGIF.
Bye!
Charles TaylorWanakutumia kama Bablishi ukiisha utamu unatemwa.
Leo ijumaa umepotea sana, au kambale hawajavuliwa leo?Sasa tulike mambo ya swaga katikati ya mada?
Bora niendelee kulala
Baadaye basi
..................