Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
Ile ni mwanzo na mwisho! i promiseKesho ole wako ukoquote kile kingongo
![]()
![]()
![]()
............
Ile ni mwanzo na mwisho! i promiseKesho ole wako ukoquote kile kingongo
![]()
![]()
![]()
............
Na usiquote mipost mingiIle ni mwanzo na mwisho! i promise

Nafurah kila nikikumbuka ulivyokuwa huzipendi, ila baada ya kukupa lyrics ukaanza kumuelewa tupac n bob marley..Na kweli unawakubali hao...yaani kila weekend ulikuwa unazipiga home nakumbuka![]()

Mkuu na mimi nahitaji kukijua hiko kingongoKesho ole wako ukoquote kile kingongo
![]()
![]()
![]()
............
Hhmmm... Dajjal tena, mbona mnamajina yakufanya tuote usiku mkuu..Nimeusoma teyali ila bado sijaelewa kwa nini uliniambia niende page no 3
Weka statistics hapaAiseeee Arsenal wanakoswa koswa...
Leo wanaoga mvua ya magoli
![]()
![]()
![]()
![]()
Utamuweza wapi huyo anataka tuyauze mambo yetu mbele ya hadhara, mie nimempa ishara ya kiutu uzima tuAnaonesha ni jinsi gani anakujali
Yaani hatareFitina zipo tangu kitambo sana
Tayari mewashaWasha blututh nikutumie
Ilikua mwaka gani mkuu? Na alifanya invention gani?Erasto B. Mpemba
Mama watoto uko vizur mupenzi...Here we go now.....!! kuna song waliimba lina hilo neno sijui ni Jamboree aaah sikumbuki