Makapuku Forum

Makapuku Forum

Uzuri mimi sijawahi mkubali hata siku moja
To be honest eneo nililompenda ni kukataa uzembe kazini, nilikuwa napata shida sana nikienda kupata huduma ofisi za umma,
Niligombana nao mara nyingi kwa upuuzi wa kupotezewa muda
Mara njoo kesho
Mara unakuta jitu laongea na cm
Mara vile
Nimegombana nao mara nyingi
Lkn sasa kuna afadhali kidogo
Kwa kazi nimemkubali
Mengine daah basi tu
 
To be honest eneo nililompenda ni kukataa uzembe kazini, nilikuwa napata shida sana nikienda kupata huduma ofisi za umma,
Niligombana nao mara nyingi kwa upuuzi wa kupotezewa muda
Mara njoo kesho
Mara unakuta jitu laongea na cm
Mara vile
Nimegombana nao mara nyingi
Lkn sasa kuna afadhali kidogo
Kwa kazi nimemkubali
Mengine daah basi tu
Tusiongee sana,maana du
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom