Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ila pamoja na kuwa siipendi Yanga, Ila Yanga ya Mwaka 1993 pale Kampala, Uganda katika Michuano ya Vilabu vya Afrika Mashariki na Kati ( CECAFA ) ilitikisa na ikawa gumzo.

Ilikuwa na Kenneth Mkapa, Said Nassoro Mwamba " Kizota ", Silvanus Ibrahim " Polisi " , Edibily Jonas Lunyamila ambaye aliliteka Jiji la Kampala na Vitongoji vyake.
Wengine humu walikuwa bado kuzaliwa
Cc swtp
Sacajo
 

Attachments

  • 1474125003081.jpg
    1474125003081.jpg
    85.9 KB · Views: 24

Similar Discussions

Back
Top Bottom