Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,256
Sina maana hiyo! ( In Kikwete's Voice )Sasa tulike mambo ya swaga katikati ya mada?
Bora niendelee kulala
Baadaye basi
..................
Sina maana hiyo! ( In Kikwete's Voice )Sasa tulike mambo ya swaga katikati ya mada?
Bora niendelee kulala
Baadaye basi
..................
1996 - McGeorge Bundy anafariki Dunia.
Alikuwa ni Mtaalamu wa masuala ya Ujasusi na Diplomasia nchini Marekani. Kabla ya vita kuu ya pili ya Dunia alifanya kazi za kijasusi hasa zile za Undercover. Baada ya hapo akawa mtaalam wa usalama na Diplomasia.
Ameshika nyadhifa za kuwa Mshauri Mkuu wa Masuala ya Usalama nchini Marekani katika Utawala wa Marais J.F.Kennedy na Lyndon B. Johnson.
Anachukuliwa kama mmoja wa majasusi bora wa wakati wote kuwahi kutokea katika Nchi ya Marekani.
Maana mtu anapiga stori masaa 3 mfululizo zen unaingia ww na ishu yako halafu hakupishi japo dk 5 utambeSina maana hiyo! ( In Kikwete's Voice )
Kweli kabisaaFormula iko hivi, Hutoi like hupati like.
We bitoz ulikuwa wapi???
Tuvumiliane tu kwa kukumbushana!Maana mtu anapiga stori masaa 3 mfululizo zen una ingia ww na ishu yako halafu hakupishi japo dk 5
Duuuh
![]()
![]()
![]()
..............
Me nitamuarrest kabla ya yoteNgoja tumlete wakili tumfungulie mashtaka![]()
Psychologist muandika vitabuNi mwanzuoni aliyetukuka katika Saikolojia.
Nilikuwepo ila sikuwa na swaga hivyo nikakaa pembeni mtambeWe bitoz ulikuwa wapi???
Nilikuwepo ila sikuwa na swaga hivyo nikakaa pembeni mtambe
(Km sina cha kupost nakaaga kimya)
![]()
![]()
......

Hamna sio watu hawataki kuachia nafasi, unakuta uzi maybe una post 20 au zaidi mbele so mtu hawezijua kama umeingia coz anafukuza uzi that's what happened to me!!!Tuvumiliane tu kwa kukumbushana!
We muache aendelee.....atakuja kujutaaafwande riarest richoches kabsa
![]()
KumbeeNilikuwepo ila sikuwa na swaga hivyo nikakaa pembeni mtambe
(Km sina cha kupost nakaaga kimya)
![]()
![]()
......
Kuna HEKIMA katika kunyamaza piaNilikuwepo ila sikuwa na swaga hivyo nikakaa pembeni mtambe
(Km sina cha kupost nakaaga kimya)
![]()
![]()
......
Riweke chini ya urinzi, Rinachesa na kyombo kya doraWe muache aendelee.....atakuja kujutaa

Itabidi nilisweke maabusu......maana madharau yamezidiRiweke chini ya urinzi, Rinachesa na kyombo kya dora![]()
Pigaaaaaaaaa stori hata masaa 10 mfululizo lakini akiingia mtu analeta kipindi chake UNAKAUSHA unachangia mada km huna point basi unawaacha wajuzi wakimaliza una endelea kupiga storiKuna HEKIMA katika kunyamaza pia
Kweli kabisaSi unajua tupo wengi tunapokezana kijiti
![]()
![]()
![]()
![]()
............