Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hawa jamaa bana yani mi mwenyewe nimeiona hiyo 'wangu' hata siku-doubt chochote kwa kuwa hata mi huwa naitumia kwa ladies karibu wote humu.. Sasa i wonder leo we kuitumia kwa JJ imekua ni topic ya briz kupinduliwa
Hawa vijana, si nongwa, it seems hicho ndio wanachotamani kitokee.. Hapo nimesema wangu.. Ningetumja dear wangu, si ndio mibichwa yao ingesafir many miles..

Hawa wana tabia za Quigley kawarithisha
 
We mfate tu huyo mkongo man.. Utapotea. Shaur yako.. Unamjua vizur huyu kwanza wewe.. Nakuona tu unamfata fta

Hiv ushawahi kusikia dwarf wa kongo.. Wale watu wafupi wala nyama za watu congo.. Huyu ndio katibu wao.. Huon kalivyokuwa kafupi.. Sasa wee endelea, yatakayokusibu mie simo.. Ukapikwe supu huko, watu wakutafune
Bwahahahahahaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom