Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,256
1975 - Nchi za Cape Verde, Msumbiji na Sao Tome Principe zajiunga na Umoja wa Mataifa.
Njoo hapa hotelini Conte du VanduJaribu.. Uone km hujaenda kwenu kongo ndani ya jeneza...

KwendraaaaaaaaaaaaaaaaaaWee punga tu, mbona mie nimekupungia mkono.. Nawe si PUNGA tu..
![]()
![]()
![]()
Marekani ni kinyonga1992 - Dikteta wa zamani wa Panama, Manuel Noriega anahukumiwa kifungo cha miaka 40 jela na Serikali ya Marekani baada ya kukutwa na kosa la Uuzaji wa madawa ya kulevya na usafirishaji haramu wa binadamu.
Kabla ya hapo, Noriega alikuwa ni kibaraka mkubwa wa CIA ambao walichangia kumuweka madarakani kabla ya kumgeuka na kumuondoa madarakani.
Ngoja nimfanyie uchunguziShaur yako sasa.. Atakufanya asusa bure
Leo katika Historia:
1908 - Kampuni ya Magari ya General Motors Corporation ( GMC ) yaanzishwa huko nchini Marekani.
Ya kwanza me ni padre mtarajiwaNipe sababu kuu 3

1959 - Photocopy mashine ya kwanza ambayo ni Xerox 914 yazinduliwa rasmi huko New York City nchini Marekani.
Huyu macaveli10 anajaribu kuleta uchocheziMwongo huyo kamanda wangu sacajo![]()

1975 - Nchi ya Papua New Guinea yajipatia Uhuru wake toka kwa Australia.
Asiye sikia la makaveli... Atafanywa kitoweo na mkongo man...
Ngoja akakufanye kitoweo ndio utashika adabu.. Hujaskia wale madereva wa bongo waliotekwa..
mbona nimeishinao kitambo hawaja nifanya kitoweoo

Wanakutumia kama Bablishi ukiisha utamu unatemwa.Marekani ni kinyonga
1975 - Nchi za Cape Verde, Msumbiji na Sao Tome Principe zajiunga na Umoja wa Mataifa.