Makapuku Forum

Makapuku Forum

1992 - Dikteta wa zamani wa Panama, Manuel Noriega anahukumiwa kifungo cha miaka 40 jela na Serikali ya Marekani baada ya kukutwa na kosa la Uuzaji wa madawa ya kulevya na usafirishaji haramu wa binadamu.

Kabla ya hapo, Noriega alikuwa ni kibaraka mkubwa wa CIA ambao walichangia kumuweka madarakani kabla ya kumgeuka na kumuondoa madarakani.
IMG_20160916_115552.jpeg
IMG_20160916_115603.jpeg

Mpuuzi
.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom