Makapuku Forum

Makapuku Forum

1996 - McGeorge Bundy anafariki Dunia.

Alikuwa ni Mtaalamu wa masuala ya Ujasusi na Diplomasia nchini Marekani. Kabla ya vita kuu ya pili ya Dunia alifanya kazi za kijasusi hasa zile za Undercover. Baada ya hapo akawa mtaalam wa usalama na Diplomasia.

Ameshika nyadhifa za kuwa Mshauri Mkuu wa Masuala ya Usalama nchini Marekani katika Utawala wa Marais J.F.Kennedy na Lyndon B. Johnson.

Anachukuliwa kama mmoja wa majasusi bora wa wakati wote kuwahi kutokea katika Nchi ya Marekani.
Jina lake limeniacha hoi Bundy kama bundi
 
1992 - Dikteta wa zamani wa Panama, Manuel Noriega anahukumiwa kifungo cha miaka 40 jela na Serikali ya Marekani baada ya kukutwa na kosa la Uuzaji wa madawa ya kulevya na usafirishaji haramu wa binadamu.

Kabla ya hapo, Noriega alikuwa ni kibaraka mkubwa wa CIA ambao walichangia kumuweka madarakani kabla ya kumgeuka na kumuondoa madarakani.
Duuuh miaka 40 jera? balaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom