Makapuku Forum

Makapuku Forum

Demokrasia siyo lazima iwe kama hii ya Wamarekani ambayo dunia nzima tunalazimishwa kuifuata. Demokrasia nzuri ni ile inayoshabihiana na mazingira na kuheshimu historia na utamaduni wa watu. Putin na huyu dogo wanabadilishana na nchi inasonga mbele. Demokrasia wakati mwingine ni kurudi nyuma hasa kama hakuna dira ya muda mrefu kama taifa. Kila kiongozi mpya anayekuja anakuja na yake na mnaanza upya tena. Msipokuwa makini mnajikuta mmepiga maktaimu ya kufa mtu na hata kurudi nyuma (mf. Tazama mfumo wetu wa elimu unavyobadilika badilika. Kinyonga cha mtoto!)
uploadfromtaptalk1473875493333.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom