Sweetiepie
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 6,107
- 24,132
KaribuMiss u more!
Huko ni wateule tu!Ok lakini sio kwa vipengele kama fisikia mana huko naonaga ngozi nyeupe tu
Simfukuzi bhaanaAacha kufukuza kondoo wewe

Jamani hii ni bukoba kweli hii!?![]()
amini hivyo hivyo hata kama sio kweliHapana mkuu.......labda wawe wamelazimishwa kusomea usistaHata masista wenyewe nao sio.
Ha kondoo wana hali mbaya maana utawachinja wewe badala ya kuwachunga!Ni chunge kondoo

Basi kama ni hivyo basi kura yangu umepataAnza ww si nmeshaona id yangu halali na pic halali kwenye profile yangu we kapuku vipi?
Ni kweli hesabu hazidanganyi lakin sayansi inapoanza kuingiliana na imani hapo ndo ukakasi unaanzaga
Kuna mtu aliisema ndo na mimi nimeshangaa....mi mwenyewe hapa nimeshangaa!!Duh! hauna hata kapicha ka hiyo kalenda kanogeshe hii comment?
Halafu wabongo kutwa kujisifia ooh mi sili sembe huyo Mzee wala Dona halijui




PadreKwanini humuamini na wewe??
Hapana mkuu......me siwezi kula kondoo wa masista......Maana nimejipanga........na nitakuwa nafunga na kuombaAaah wewe mistake!!???, hata na wewe ukiwa unakula kondoo na masista utakuwa unasema ni mistake tuu eeeh?
Fitina zipo tangu kitambo sanaYeah mke wa Mkuu wa Majeshi Huria akampeleka mbele ili auawe ajipatie mzigo kiulaini...daah
Ngoja nianze kuzitafutaYaah ukizichemsha tu inasemekana ni nzuri sana kwa memory boosting