Makapuku Forum

Makapuku Forum

Alimuona mke wa Huria muhiti anaoga sa sijui enzi hizo hakukuwa na mabati?!!...akamtamani akazini nae...na alikuwa ni mfalme kipenzi cha Mungu...sema alitubu badae. So unaweza kuta hata mapadre wanazini kama kawa hii miili sometimes hatuwezi kuicontrol hata uwe nani hapa Duniani...
We si umeona sababu hiyo........ila kwa sasa utamuonea wapi mtu akiwa mtupu.......na hata maeneo tunayokaa ni tofauti
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom