Makapuku Forum

Makapuku Forum

Chemistry bhna...nakumbuka ... unaingia exam room unakuta swali hujawai skia tangu form one..unaenda swali LA pili linasema explain your answer in Q1 above...unaisha nguvu unasonga swali la 3....kumbe linasema discuss your answer in question number 2...unaangalia wenzako walio karibu na wewe ni vilaza bora wewe ..unaona hamwezi discuss ... Unaenda swali LA 4 wanauliza two types of bonds na we unajua ni eurobond na james bond pekee...unauma kalamu✍�...Kidogo unasikia mwenzako anaomba extra paper unashindwa kuelewa we ni kurogwa ama nini..kabla huyo kuketi mwingine anasimama na kusema swali LA 7 liko na shida na ni hilo pekee uli culculate ukapata 0.076524.Unaamua kulalia meza na unaota kuna mjomba wako yuko jeshi ataku organaizia uingie jeshini after chuo..unaamka ghafla unapokumbuka kumbe mjomba wako ni wa Jeshi la wokovu.```*
 
1473249310318.png
1473249324761.jpg
1473249330357.jpg

RIP
.......
.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom