makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,893
- 104,126
Hhmm.. Haya, sina msemo.Anajua nnavyokupendaga....sasa ndo namuonyesha hapo aone nilivyo na shahuku!!![]()
Hhmm.. Haya, sina msemo.Anajua nnavyokupendaga....sasa ndo namuonyesha hapo aone nilivyo na shahuku!!![]()
Hahaa...
Akili zetu ziko directly proportional.Afu i wanned to ask the same thing ujue....![]()
Kwahyo we unatafuta wanawake!!?hivi wanawake wote uku naona ni kwanzia 30 years![]()
Ni poa sana, mishe zinaaendaje?Mambo vp Ankali
Iwekwe na hapa bongo sasaLeo ni siku ya wapenda bia nchini Marekani.
Umejuaje???hivi wanawake wote uku naona ni kwanzia 30 years![]()
Du hatari, ataweza lakiniMfanye big g tuwe tunamtafna, au mgeuze farasi tuwe tunampanda kila siku..
![]()
![]()
![]()
Mambo ya Jana bado yanaendelea tuPole sana mkuu..
Nadhan rekod nawe itakutambua kuwa ulifanyiwa u"jecha"
Zinaenda poa sana, vp Iringa kwemaNi poa sana, mishe zinaaendaje?
unaingia exam room unakuta swali hujawai skia tangu form one..unaenda swali LA pili linasema explain your answer in Q1 above...unaisha nguvu unasonga swali la 3....kumbe linasema discuss your answer in question number 2...unaangalia wenzako walio karibu na wewe ni vilaza bora wewe ..unaona hamwezi discuss
... Unaenda swali LA 4 wanauliza two types of bonds na we unajua ni eurobond na james bond pekee...unauma kalamu✍�...Kidogo unasikia mwenzako anaomba extra paper unashindwa kuelewa we ni kurogwa ama nini..kabla huyo kuketi mwingine anasimama na kusema swali LA 7 liko na shida na ni hilo pekee uli culculate ukapata 0.076524.Unaamua kulalia meza na unaota kuna mjomba wako yuko jeshi ataku organaizia uingie jeshini after chuo
..unaamka ghafla unapokumbuka kumbe mjomba wako ni wa Jeshi la wokovu.```*Heineken mbili tafadhaliCastle lite moya pliz
Ungeoga kabisaaaHow I wish ningekuwa america
Wacongo kwa mikogo
R.I.PR.i.p eazy E
N.W.A
Wapo pia wenye umri wa miaka 7hivi wanawake wote uku naona ni kwanzia 30 years![]()
Nice jibu thoughTo tell u what..!!?